Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Kuna jamaaa angu leo kfungiwa baadhi ya services za simu yake redmi note 8 ...aliwatukana kule kwenye feedback and suggestions ...kwneye setting ya simu now hawez kureport issue yyte kwakutumia simu yake .

Shikamooo xiaomi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona Redmi 8 kwa Tsh. 400,000/= kwa hawa wahindi wa High life mnanishaurije kuipata hii simu ni nzuri au nikanunue zangu infinix s5

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu redmi 8 kwa 400000!!!!! Hata mm sishawishiki labda kama huna kazi na hiyo pesa maana kwa huyo pesa unapata Xiaomi kali sana.
Huyo Redmi 8 Online ipo around 250 hadi 280.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…