pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Simu nzuri lakini ukiagiza haizidi laki nneWakuu nimevutiwa sana na hii kampuni kwa namna ilivyo pigiwa sana chapuo sasa naomba msaada nimevutiwa na hii Xiaomi Redmi 8 64 GB bei wanasema 450000 msaada wa mawazo na utaalam je simu na bei vyaendana?!. Natanguliza shukrani
Sent from my iPhone using JamiiForums
Redmi note 7 4gb + 128 Njoo tufanye biasharaHodi humu....
Wadau ninampango wa kuagiza xiaomi redimi 8 kwa bei nimeambiwa ni RMB 1000 Sawa kama na 345k TSH ivi je ni valid??....
Naomba pia ushauri kuhusu earphones kali yenye mkito wa maana na bei zake.
Ahsanteni
Nimekuelewa mkuu maoni yako ayoUkiona muuzaji wa simu au TV anakwambia yuko Zanzibar, kuwa makini kuna dalili za kupigwa hapo
Kuna mwingine instagram anadai yuko Horohoro
520k..but cheki na huyo jamaa Mr Mobile naona akikuagizia inakuwa cheap kwa alivyomjibu mdau mmoja hapo juu..bt km una haraka nayo nimeuziwa bei hiyo na kiukweli iko poa
Kuna summer sale inaendelea leo kule sh 300000 hio unapata redmi note 8Mkubwa habar yako naweza kupata kwl xiaomi kwa 300k??
Wapi hukoKuna summer sale inaendelea leo kule sh 300000 hio unapata redmi note 8
Mkuu ishaisha, ilikuwa AliexpressWapi huko
Mkuu ishaisha, ilikuwa Aliexpress
Nani kasema hawaship mkuu?Kwan wameanza kuship mizigo?
Nani kasema hawaship mkuu?
Zidi kuvumilia Ndugu. Mimi yamwezi wa tatu nimeipata juziMimi nimenunua vitu toka mwez wa tatu havijafika bado
Kuship wana ship, kufika ndio mtihani, sijui ulitumia shipping gani lakin mimi niliagiza mwezi wa 3 tareh 11 na mwezi wa nne tarehe 26 nilipata mzigo, ulichelewa lakini sio mieziMimi nimenunua vitu toka mwez wa tatu havijafika bado
Ndiyo full kuchelewa. Mimi niliambulia miwili ambayo niliipata mwezi wa tano ambayo niliiagiza mwezi wa 3, mingine bado. Ila ukitrack inaonesha mizigo imefika Tanzania,ukiuliza posta hakuna kitu (haijafika)Wale walioagiza mizigo mwezi wa 3 vip ishafika? Mimi kwangu status inaonesha order completed wakati mzigo haujafika
Hatimae nimehamia katika chama ili Redmi 8A nimenunua Duka la tigo,kwa kweli ipo saafi,korona ikiisha rasmi nitaagiza Redmi Note 7 au 8