Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Natumia xiaomi redim note 10 mpyaa, nimeichukua mwezi wa 9 mwishoni, bei ya kawaida sana
 
NAUZA CAMERA YA XIAOMI.
Camera ipo katika hali mpya imetumika kidogo tu nakupa kila kitu chake pamoja na box, mazungumzo yapo kidogo nichek kwa mawasiliano (0742717166)
sony imx269 image sensor,
20mp still images,
4k/30fps video recording,
bluetooth & wi-fi,
3" lcd touchscreen,
micro four thirds system,
zoom lens 12-40mm f3.5-5.6
prime lens 42.5mm f1.8 portrait macro lens
BEI 950000.
 
Nauza Xiaom A2 lite natumia now mwenye kuhitaji anicheki 280
0769508728
 
Nani ana redmi note 9 pro max nina 500k cash
 
Wazee WA Xiaomi natumia Redmi note 8 yenye Chinese rom nahitaji kujua je Kuna njia kubaidilisha kuwa Global roms?
 
Kiukweli hizi cm ziko poa Sana kama unavyojua unapotaka kunnua simu unaangalia vitu vingi eg. Processor, ram, rom na camera na features nyingi amazing ambazo huwezi kuzikita kwenye models zingine(Xiaomi MiUi 12)
VIP mkuu izo simu za Redmi ubora wake ukoje ??
 
Wazee WA Xiaomi natumia Redmi note 8 yenye Chinese rom nahitaji kujua je Kuna njia kubaidilisha kuwa Global roms? View attachment 1633898
Inawezekana
Fuata hizi hatua[emoji116]

1-unlock bootloader
2-download global firmware ile ya fastboot then kwa Mi-flash tool

Ukiona vema install TWRP recovery then download Xiaomi.eu ROM yenyewe bado iko na origin MIUI dialer pamoja na messages app.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…