Inawezekana
Fuata hizi hatua[emoji116]
1-unlock bootloader
2-download global firmware ile ya fastboot then kwa Mi-flash tool
Ukiona vema install TWRP recovery then download Xiaomi.eu ROM yenyewe bado iko na origin MIUI dialer pamoja na messages app.
Agizia kenya Na note 9 pro max na 9s ni kama simu moja tu utofauti mdogo.Nani ana redmi note 9 pro max nina 500k cash
Site gani wanauza kwa hiyo bei ?Poco M3 imetoka $129 tu,
-64GB internal (ufs)
-4gb ram
-48mp camera
- 6000mah battery
-snapdragon 662
Simu bora sana kwa budget ya laki 3.
Ndio imetoka hivi, Aliexpress wanayo ila naona bei wameikosea, watarekebisha muda si mrefu
Naomba nikuulize mkuu, ninatumia Xiaomi Redmi note 8 Chinese Version. Nina laini ya Halotel ambayo ni 4G lakini ukiweka kwenye hii simu inaonesha H+ tu lakini nikiweka laini ya Tigo napata huduma ya 4G. Shida ni nini hapo?Ndio imetoka hivi, Aliexpress wanayo ila naona bei wameikosea, watarekebisha muda si mrefu
Halotel maeneoeng 4g haishiki au ikishika kwa kiasi kidogo sana..kwa vile kiui haina option ya 4g only so inajiswitch to H unaweza ku download application ambayo itailazimisha simu kushika 4g kwa halotel lakin trus me minala inaweza isisome kabisa...sabab eneo ulipo halina 4g....labda kama upo mjini kutakuwa na shida nyingineNaomba nikuulize mkuu, ninatumia Xiaomi Redmi note 8 Chinese Version. Nina laini ya Halotel ambayo ni 4G lakini ukiweka kwenye hii simu inaonesha H+ tu lakini nikiweka laini ya Tigo napata huduma ya 4G. Shida ni nini hapo?
hapa nilipo kuna 4G na iko vizuri kuzidi mitandao mingine. Nilikuwa natumia simu nyingine yenye 4G kabla ya kununua hii.Halotel maeneoeng 4g haishiki au ikishika kwa kiasi kidogo sana..kwa vile kiui haina option ya 4g only so inajiswitch to H unaweza ku download application ambayo itailazimisha simu kushika 4g kwa halotel lakin trus me minala inaweza isisome kabisa...sabab eneo ulipo halina 4g....labda kama upo mjini kutakuwa na shida nyingine
Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Basi jarib kufanya research....band za 4gb za halotel then ujue band za 4g zinazokuwa supported na simu...jarib ingia play store download app inaitwa 4g only then switch to 4g only uone nn kitatokeahapa nilipo kuna 4G na iko vizuri kuzidi mitandao mingine. Nilikuwa natumia simu nyingine yenye 4G kabla ya kununua hii.
ngoja nijaribu.Basi jarib kufanya research....band za 4gb za halotel then ujue band za 4g zinazokuwa supported na simu...jarib ingia play store download app inaitwa 4g only then switch to 4g only uone nn kitatokea
Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Nimejaribu kuweka hiyo app ya 4G only lakini imeshindikana, nikiiset iwe 4G only inakata mitandao kabisa.Basi jarib kufanya research....band za 4gb za halotel then ujue band za 4g zinazokuwa supported na simu...jarib ingia play store download app inaitwa 4g only then switch to 4g only uone nn kitatokea
Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Halotel hasa mjini band yao ni 7(2600) na tigo wanatumia band 800 na 1800.Naomba nikuulize mkuu, ninatumia Xiaomi Redmi note 8 Chinese Version. Nina laini ya Halotel ambayo ni 4G lakini ukiweka kwenye hii simu inaonesha H+ tu lakini nikiweka laini ya Tigo napata huduma ya 4G. Shida ni nini hapo?
kwa hiyo hakuna namna naweza kupata 4G?Halotel hasa mjini band yao ni 7(2600) na tigo wanatumia band 800 na 1800.
Hivyo kuna uwezekano wa hio note 8 kuwa ni version isio na band 7
Nimepitia Gsmarena naona kuna version mbili, moja ina band zote za Tanzania kama 3, 7, 20 na 40 wakati nyengine haina band 7 na 20
View attachment 1635248
mambo la ajabu ni kwamba nikiweka laini ya Tigo napata 4G lakini laini ya Halotel inakata.Halotel hasa mjini band yao ni 7(2600) na tigo wanatumia band 800 na 1800.
Hivyo kuna uwezekano wa hio note 8 kuwa ni version isio na band 7
Nimepitia Gsmarena naona kuna version mbili, moja ina band zote za Tanzania kama 3, 7, 20 na 40 wakati nyengine haina band 7 na 20
View attachment 1635248
Ukiangalia hio picha model zote mbili zina band 3, ndio maana unapata tigo 4g, ila model moja haina band 7 ndio maana hupati halotel 4g.mambo la ajabu ni kwamba nikiweka laini ya Tigo napata 4G lakini laini ya Halotel inakata.
Nimeelewa asante.Ukiangalia hio picha model zote mbili zina band 3, ndio maana unapata tigo 4g, ila model moja haina band 7 ndio maana hupati halotel 4g.
Mkuu sorry,nashindwa kufungua attachment hapa JF.Naomba nipe setting za kufunguaUkiangalia hio picha model zote mbili zina band 3, ndio maana unapata tigo 4g, ila model moja haina band 7 ndio maana hupati halotel 4g.
Unapata error gani?Mkuu sorry,nashindwa kufungua attachment hapa JF.Naomba nipe setting za kufungua
Mkuu naona siku hzi mfumo wa band kwenye simu kama wamebadili namna ya kuandika kama ilivyozoelekaUkiangalia hio picha model zote mbili zina band 3, ndio maana unapata tigo 4g, ila model moja haina band 7 ndio maana hupati halotel 4g.
Yah wamebadili mkuu, hata mimi najua tu za Tz nyengine mpaka nigoogle.Mkuu naona siku hzi mfumo wa band kwenye simu kama wamebadili namna ya kuandika kama ilivyozoeleka
Sasa hivi wanaandika 1,2,3,4....34n.k, binafsi nashindwa kuelewa zinalenga freqs zipi specifically