Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Sawa mkuu nikirejea mjini nitajaribu japo kuna jamaa wanadai nitapoteza bands ni 50 fifty
Inawezekana
Fuata hizi hatua[emoji116]

1-unlock bootloader
2-download global firmware ile ya fastboot then kwa Mi-flash tool

Ukiona vema install TWRP recovery then download Xiaomi.eu ROM yenyewe bado iko na origin MIUI dialer pamoja na messages app.
 
Naomba nikuulize mkuu, ninatumia Xiaomi Redmi note 8 Chinese Version. Nina laini ya Halotel ambayo ni 4G lakini ukiweka kwenye hii simu inaonesha H+ tu lakini nikiweka laini ya Tigo napata huduma ya 4G. Shida ni nini hapo?
 
Naomba nikuulize mkuu, ninatumia Xiaomi Redmi note 8 Chinese Version. Nina laini ya Halotel ambayo ni 4G lakini ukiweka kwenye hii simu inaonesha H+ tu lakini nikiweka laini ya Tigo napata huduma ya 4G. Shida ni nini hapo?
Halotel maeneoeng 4g haishiki au ikishika kwa kiasi kidogo sana..kwa vile kiui haina option ya 4g only so inajiswitch to H unaweza ku download application ambayo itailazimisha simu kushika 4g kwa halotel lakin trus me minala inaweza isisome kabisa...sabab eneo ulipo halina 4g....labda kama upo mjini kutakuwa na shida nyingine

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Halotel maeneoeng 4g haishiki au ikishika kwa kiasi kidogo sana..kwa vile kiui haina option ya 4g only so inajiswitch to H unaweza ku download application ambayo itailazimisha simu kushika 4g kwa halotel lakin trus me minala inaweza isisome kabisa...sabab eneo ulipo halina 4g....labda kama upo mjini kutakuwa na shida nyingine

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
hapa nilipo kuna 4G na iko vizuri kuzidi mitandao mingine. Nilikuwa natumia simu nyingine yenye 4G kabla ya kununua hii.
 
hapa nilipo kuna 4G na iko vizuri kuzidi mitandao mingine. Nilikuwa natumia simu nyingine yenye 4G kabla ya kununua hii.
Basi jarib kufanya research....band za 4gb za halotel then ujue band za 4g zinazokuwa supported na simu...jarib ingia play store download app inaitwa 4g only then switch to 4g only uone nn kitatokea

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Basi jarib kufanya research....band za 4gb za halotel then ujue band za 4g zinazokuwa supported na simu...jarib ingia play store download app inaitwa 4g only then switch to 4g only uone nn kitatokea

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Nimejaribu kuweka hiyo app ya 4G only lakini imeshindikana, nikiiset iwe 4G only inakata mitandao kabisa.
 
Naomba nikuulize mkuu, ninatumia Xiaomi Redmi note 8 Chinese Version. Nina laini ya Halotel ambayo ni 4G lakini ukiweka kwenye hii simu inaonesha H+ tu lakini nikiweka laini ya Tigo napata huduma ya 4G. Shida ni nini hapo?
Halotel hasa mjini band yao ni 7(2600) na tigo wanatumia band 800 na 1800.

Hivyo kuna uwezekano wa hio note 8 kuwa ni version isio na band 7

Nimepitia Gsmarena naona kuna version mbili, moja ina band zote za Tanzania kama 3, 7, 20 na 40 wakati nyengine haina band 7 na 20
IMG_20201126_154648.jpg
 
Halotel hasa mjini band yao ni 7(2600) na tigo wanatumia band 800 na 1800.

Hivyo kuna uwezekano wa hio note 8 kuwa ni version isio na band 7

Nimepitia Gsmarena naona kuna version mbili, moja ina band zote za Tanzania kama 3, 7, 20 na 40 wakati nyengine haina band 7 na 20
View attachment 1635248
kwa hiyo hakuna namna naweza kupata 4G?
 
Halotel hasa mjini band yao ni 7(2600) na tigo wanatumia band 800 na 1800.

Hivyo kuna uwezekano wa hio note 8 kuwa ni version isio na band 7

Nimepitia Gsmarena naona kuna version mbili, moja ina band zote za Tanzania kama 3, 7, 20 na 40 wakati nyengine haina band 7 na 20
View attachment 1635248
mambo la ajabu ni kwamba nikiweka laini ya Tigo napata 4G lakini laini ya Halotel inakata.
 
mambo la ajabu ni kwamba nikiweka laini ya Tigo napata 4G lakini laini ya Halotel inakata.
Ukiangalia hio picha model zote mbili zina band 3, ndio maana unapata tigo 4g, ila model moja haina band 7 ndio maana hupati halotel 4g.
 
Ukiangalia hio picha model zote mbili zina band 3, ndio maana unapata tigo 4g, ila model moja haina band 7 ndio maana hupati halotel 4g.
Mkuu naona siku hzi mfumo wa band kwenye simu kama wamebadili namna ya kuandika kama ilivyozoeleka

Sasa hivi wanaandika 1,2,3,4....34n.k, binafsi nashindwa kuelewa zinalenga freqs zipi specifically
 
Mkuu naona siku hzi mfumo wa band kwenye simu kama wamebadili namna ya kuandika kama ilivyozoeleka

Sasa hivi wanaandika 1,2,3,4....34n.k, binafsi nashindwa kuelewa zinalenga freqs zipi specifically
Yah wamebadili mkuu, hata mimi najua tu za Tz nyengine mpaka nigoogle.

Zipo wikipedia namba na frequency angalia hapa.

 
Back
Top Bottom