Nunua bidhaa: Kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasaTatizo la kuagiza nje linabaki pale pale ni kurisk kwa kweli...
Anyway thanks kwa ushauri...
PAMOJA SANA MWALIMU.CRTNunua bidhaa: Kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Kupitia hii thread, Mimi nachukua dhamana (risk) ya bidhaa (simu) utakayo agiza.
Unalipa na kusubiri kukabidhiwa.
KARIBU
Mimi natumia mi max prime gb64 .. international visionHello wanajukwaa natumia hili pendwa natumaini mu wazima.
Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi.
BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri for affordable price.
KARIBUNI
Xiaom mi max prime nipo apa..
Pacha wanguXiaomi Mi Max Prime hapa,tupo pamoja
Model gn?,,,unaweza change rom ikawa internationalKweli na mimi ninayo. Nzuri sana. Ila yangu ni ya kichina... mambo mengi ni kichina nilinunua Beijing , it was for China consumers. Kuna vitu vinanipiga chenga kwa sababu ya lugha.
Yangu inayo...ata uki restore ipo tu...kama zenu hazina wekeni global stable romhaina ndilo moja wapo ya matatizo yake
unafanyaje?Model gn?,,,unaweza change rom ikawa international
Una flash kwa mi Flash tool..ila first unlock bootloader kwa mi unlock tool...au ni text 0656853060unafanyaje?
Mkuu uko wapi na una hitaji nn hasa kua muwazi tu usijali tutashirikiana pale panapobidiView attachment 671612 View attachment 671597 Nami nashukuru sana kwa uzi huu hasa mzee Kilangi masanja ambao umenipelekea na mimi kuvutiwa na hizi simu na jana nimepokea simu yangu ya redmi note 4 4gb ram 64 GB ROM (thanks to Mwl.RCT) baada ya wiki kama tatu hivi baada ya kuagiza maana niko mbali kidogo,sasa nami naomba mnipe maujanja niweze kuinjoy hii simu.