Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Nipo mkuu na Mi Max, iko.poa betri unatumia siku nzima.data ikiwa on
 
Hello wanajukwaa natumia hili pendwa natumaini mu wazima.

Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi.
BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri for affordable price.
KARIBUNI
Mimi natumia mi max prime gb64 .. international vision
Xiaom mi max prime nipo apa..
 
Kweli na mimi ninayo. Nzuri sana. Ila yangu ni ya kichina... mambo mengi ni kichina nilinunua Beijing , it was for China consumers. Kuna vitu vinanipiga chenga kwa sababu ya lugha.
Model gn?,,,unaweza change rom ikawa international
 
6d7109e6da77e56d3ebf2164116e95a8.jpg
 
Screenshot_2017-12-23-08-32-01-964_com.miui.player.png
WAKUU HEBU TUFANYE UWIANO.WA FEATURES ZILIZOONGEZEKA KWA MIUI 9 kwa global.version na chinese
 
yaap sasa baada ya kua nimepata hio update hapo juu[emoji16][emoji16][emoji16] ndio kuna baadhi ya vitu vinazidi nikosha kabisa kwa hao wachina tujaribu kushare .mimi binafsi nimevutiwa zaidi na maboresho ya second space ukitazam hapa niko second space kwa hio screen.short but pia themes na wallpaper za kufa mtu
 
Xiaomi mi max
Mint condition
Dual simcard
Bei:350,000/=
Ca/whatsapp:0659782778
 

Attachments

  • tapatalk_1515522032155.jpeg
    tapatalk_1515522032155.jpeg
    25.2 KB · Views: 81
  • tapatalk_1515522036036.jpeg
    tapatalk_1515522036036.jpeg
    32.2 KB · Views: 82
  • IMG_20180109_212514.jpg
    IMG_20180109_212514.jpg
    24 KB · Views: 82
Back
Top Bottom