Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Mwl RCT unashaurije kuhusu hizo simu nyingine kama Homtom , Ouktel ,Ulephone na nyinginezo kuhusu kuzinunua ?
 
NARUDIA TENA KAMA KUNA MTU ANAHITAJI XIAOMI REDMI NOTE 4 used namwachia kwa laki mbili na hmsini.tu so mwenye uhitaji anifate pm.au hapahapa tuyamalize
 
d168f5c88f0b9c321b5a4519d9f1bfb2.jpg
df3c27e3abfb6040f11adb8f189bd190.jpg

Nimepokea leo Xiaomi Redmi Note 4x, from banggood.
 
Hii thread ili ni inspire sana kutumia simu xiaomi.
Nikaagiza yangu xiaomi mi5x (MiA1) kupitia huduma ya Mwl. RCT mnamo tarehe 3january nilipokea mzigo wangu.
Na enjoy tu...
f379d17b4ca05a3dc7166c32e1770918.jpg
a1d478ff5583aa41bb7b01126f1b0782.jpg
 
Hii thread ili ni inspire sana kutumia simu xiaomi.
Nikaagiza yangu xiaomi mi5x (MiA1) kupitia huduma ya Mwl. RCT mnamo tarehe 3january nilipokea mzigo wangu.
Na enjoy tu...
f379d17b4ca05a3dc7166c32e1770918.jpg
3c0726b4012fabc8412ca95ddd2c1993.jpg
a1d478ff5583aa41bb7b01126f1b0782.jpg
 
Hii thread ili ni inspire sana kutumia simu xiaomi.
Nikaagiza yangu xiaomi mi5x (MiA1) kupitia huduma ya Mwl. RCT mnamo tarehe 3january nilipokea mzigo wangu.
Na enjoy tu...
f379d17b4ca05a3dc7166c32e1770918.jpg
3c0726b4012fabc8412ca95ddd2c1993.jpg
a1d478ff5583aa41bb7b01126f1b0782.jpg
 
Wakubwa nimeona kama Xiaomi india.com wana bei ya chini kuliko hata gearbest Na banggood au aliexpesss
 
simos hongera bonge la group aisee duuuh hadi.rah members tu kwanza ni.3k allover da world
 
3b5ddaa0eccf27008305384050306f4c.jpg
933dad5ed656cbf2815723e0e0c01089.jpg

kwa wale wanaopenda mzk earphones za xiaomi hzo hapo znapatkana kwa bei poa tu 25K hapa hapa bongo huna haja yakuziagza
 
Back
Top Bottom