Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Uki connect hakuji menu yoyote kwenye notification bar inayoonesha mode ya usb?Wakuu kwenye redmi note 8 nakumbana na shida ya kutokuweza kusoma flash(otg)
Kwenye spec inaonyesha kuwa unaweza kuitumia lkn kila kiniweka haisomi, shida ni simu au nini?
Na miss vitu vyangu vingi tuView attachment 1671037View attachment 1671038
Haionyeshi kitu kabisa mkuu nimejaribu kuwa developer lkn wapiUki connect hakuji menu yoyote kwenye notification bar inayoonesha mode ya usb?
Jaribu labda kucheki waya kwa simu nyengine ama jaribu waya mwengine.Haionyeshi kitu kabisa mkuu nimejaribu kuwa developer lkn wapi
Sawa mkuu nitajaribuJaribu labda kucheki waya kwa simu nyengine ama jaribu waya mwengine.
Kama unaconect storage device pia jaribu kutumia 3rd party file manager.
Wakuu mnaotumia Redmi note 9S, nimejaribu ku-reboot simu tajwa kwa kawaida ikiwa ina reboot hua ina display neno "Redmi".
Nimereboot like two times inaanza kudisplay neno Redmi halafu baada ya sekunde kadhaa inamalizia ku-reboot kwa kuonyesha logo ya apple; swali, inakuaje inakua hivyo? Au ndio virus washaingia kwa device yangu
Msaada CHIEF MKWAWA
Dah mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] nisamehe sana nimecheka ila hiyo kiboko ngoja jamaa aje na mimi nipate elimu.Na ambatanisha na pichaView attachment 1671476
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hii inaitwa kimpe kisangameni[emoji1787][emoji1787].Na ambatanisha na pichaView attachment 1671476
Hata mimi imenishangaza na hiyo picha nimepiga kwa simu ingine wakati na reboot Kwa mara ya tatu na bado inadisplay neno redmi baada ya sekunde kadhaa inakuja logo ya apple na mwisho inawaka fresh tu.Dah mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] nisamehe sana nimecheka ila hiyo ni kiboko ngoja jamaa aje na mimi nipate elimu.
Ndio maana nilitaka wale wanaotumia Redmi note 9S wajaribu na wao kureboot simu zao waone huo utamu ha ha aisee hizi simu hatari[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hii inaitwa kimpe kisangameni[emoji1787][emoji1787].
hapa hata @chiefmkwawa ataomba aletewe gwajimaa[emoji28][emoji28]
duh,ila usiogope mkuu,simu og ni kg tu.Ndio maana nilitaka wale wanaotumia Redmi note 9S wajaribu na wao kureboot simu zao waone huo utamu ha ha aisee hizi simu hatari
Hio simu ina root? Haijaekwa custom rom?Wakuu mnaotumia Redmi note 9S, nimejaribu ku-reboot simu tajwa kwa kawaida ikiwa ina reboot hua ina display neno "Redmi".
Nimereboot like two times inaanza kudisplay neno Redmi halafu baada ya sekunde kadhaa inamalizia ku-reboot kwa kuonyesha logo ya apple; swali, inakuaje inakua hivyo? Au ndio virus washaingia kwa device yangu
Msaada CHIEF MKWAWA
Haijawekewa custom ROM na hakuna ambaye amewahi ishika ni mimi mwenyewe toka nilipoinunua.Hio simu ina root? Haijaekwa custom rom?
Kwa simu za Android unaweza kuweka custom boot animation, pengine kuna mtu alibadilisha boot animation.
Aisee hii kali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana nilitaka wale wanaotumia Redmi note 9S wajaribu na wao kureboot simu zao waone huo utamu ha ha aisee hizi simu hatari
Nimeangalia xiaomi pia themes zao zina custom boot animation, hujaweka theme mpya? Kama umeweka nenda setting za theme kuna option ya kubadili.Haijawekewa custom ROM na hakuna ambaye amewahi ishika ni mimi mwenyewe toka nilipoinunua.
Mkuu nimepata solution, kumbe kilichokuwa kinafanya logo ya apple itokee ni theme niliyodownload na kui-apply. Ile theme ndo ina hiyo logo, nimebadilisha na kuweka default setting upande wa theme nikairestart ikawaka kama inavyofanya siku zote.Hio simu ina root? Haijaekwa custom rom?
Kwa simu za Android unaweza kuweka custom boot animation, pengine kuna mtu alibadilisha boot animation.
Asante sana mkuu,, nilipata wazo la theme Ile niliyodownload kuwa inaweza kua ndo soucre. Nilipoibadilisha ikawa fresh, kuna siku nilidownload theme flani hivi tena ni theme za hao hao Xiaomi, I mean zinakua updated na wao Xiaomi kilichonitokea nilijuta kubadilisha.Nimeangalia xiaomi pia themes zao zina custom boot animation, hujaweka theme mpya? Kama umeweka nenda setting za theme kuna option ya kubadili.
Issue mkuu themes zao kama zinabadili hadi boot animation ina maana wamezipa ruhusa kubwa sana.Asante sana mkuu,, nilipata wazo la theme Ile niliyodownload kuwa inaweza kua ndo soucre. Nilipoibadilisha ikawa fresh, kuna siku nilidownload theme flani hivi tena ni theme za hao hao Xiaomi, I mean zinakua updated na wao Xiaomi kilichonitokea nilijuta kubadilisha.
Simu ilistack, ikawa inaboot mpaka mahali fulani inashindwa kuwaka, korokochoa wee,, Ngoma bado inabuma. Option ya mwisho ilibidi niformat simu, naomba unipe elimu kwa nini baadhi ya theme zina crush simu?