Aiseee hebu subirisubiri.... Mzigo utakuja tu. Mara ya kwanza kuagiza mzigo nilikuwa kama wewe.Jameni nisaidieni, nimeagiza mzigo tarehe 11/01/2021 lakini mpaka sasa mzigo umeganda overseas office tangu 17/01/2021 sijui Kuna yeyote anaweza nisaidia kujua wapi umefika na nifanye Nini labda.
RB051347735SG tacking number hiyo hapo.
Asanteni Sana.
Poco m3 na chenji inarudiMkuu budget ya 350k nitapata Xiaomi ipi?
Mzigo wako umetua TZ leoJameni nisaidieni, nimeagiza mzigo tarehe 11/01/2021 lakini mpaka sasa mzigo umeganda overseas office tangu 17/01/2021 sijui Kuna yeyote anaweza nisaidia kujua wapi umefika na nifanye Nini labda.
RB051347735SG tacking number hiyo hapo.
Asanteni Sana.
Kwa nn haiwezekani kuagiza kwa sasaPoco m3 na chenji inarudi
Kama ni kuigiza kwa sasa haiwezekani Hadi tarehe 20
Mizigo huwa inachukua mwezi kutokea China. Around hizi tarehe utaupata tu.Jameni nisaidieni, nimeagiza mzigo tarehe 11/01/2021 lakini mpaka sasa mzigo umeganda overseas office tangu 17/01/2021 sijui Kuna yeyote anaweza nisaidia kujua wapi umefika na nifanye Nini labda.
RB051347735SG tacking number hiyo hapo.
Asanteni Sana.
Sherehe za Mwaka mpya wa wachina zimeanzaKwa nn haiwezekani kuagiza kwa sasa
Ina ngapi kama nikiagiza?Poco m3 na chenji inarudi
Kama ni kuigiza kwa sasa haiwezekani Hadi tarehe 20
Kumbe unayo mzee nimeichek Gsmarena iko poa sanaKama 330,000
Mpaka ikufikieView attachment 1698361
Aiseee hebu subirisubiri.... Mzigo utakuja tu. Mara ya kwanza kuagiza mzigo nilikuwa kama wewe.
Mzigo wako umetua TZ leo
Hv wazee nataka kuagiza mzigo ila nahofia makato ya tra,maana kuna mdau alileta uzi juu ya makato hayo kuwa makubwa sana,wazoefu nifafanulieni gharama za tra nikienda chukua mzigo postaKama 330,000
Mpaka ikufikieView attachment 1698361
Hv wazee nataka kuagiza mzigo ila nahofia makato ya tra,maana kuna mdau alileta uzi juu ya makato hayo kuwa makubwa sana,wazoefu nifafanulieni gharama za tra nikienda chukua mzigo posta
Yaaah ndo mara ya kwanzaSamahani kwani ni Mara yako ya kwanza kuagiza mzigo mtandaoni?
Unaagiza nini hadi uhofie makato? Labda kama unaagiza kibiashara package kubwa 25-40Kg ila kama ni hizi simu binafsi sijawahi kukatwa zaidi ya ile tozo ya watu wa posta Tshs 2350!! Na nishaagiza mara nyingi sana mwendo ni uleule 2350 nakamata parcel nasepa.Hv wazee nataka kuagiza mzigo ila nahofia makato ya tra,maana kuna mdau alileta uzi juu ya makato hayo kuwa makubwa sana,wazoefu nifafanulieni gharama za tra nikienda chukua mzigo posta
Mkuu kati ya redim 9 na pacco m3 ipi iko poa?1. Kwa fast charging samsung inayo 15w, wakati 9a haina. Ni 10w kawaida, samsung ina 4000mah na 9a ina 5000mah hivyo hio A11 itajaa faster zaidi.
2. Kuhusu Band zote zina coverage ya Band zote Tz sema 9A ina Lte Advance hivyo kwa baadhi ya Mitandao pengine ikawa na speed zaidi.
3. Perfomance A11 ipo juu zaidi kuliko 9a
Sema mkuu kuna redmi 9 kama unaipata kwa kenya Haifiki laki 3 ni nzuri kushinda zote hizi mbili.
Huyu jamaa amenisaidia mambo mengi sana Mungu amuongezee maisha kwaza anajua na pia hajisikiiJamaa ni mtu poa sana. Huwa ananisaidia sana ushauri kwenye haya maswala ya tech. Nahisi leo yupo busy tu, lakini atakuja