Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Jameni nisaidieni, nimeagiza mzigo tarehe 11/01/2021 lakini mpaka sasa mzigo umeganda overseas office tangu 17/01/2021 sijui Kuna yeyote anaweza nisaidia kujua wapi umefika na nifanye Nini labda.

RB051347735SG tacking number hiyo hapo.

Asanteni Sana.
Aiseee hebu subirisubiri.... Mzigo utakuja tu. Mara ya kwanza kuagiza mzigo nilikuwa kama wewe.
 
Jameni nisaidieni, nimeagiza mzigo tarehe 11/01/2021 lakini mpaka sasa mzigo umeganda overseas office tangu 17/01/2021 sijui Kuna yeyote anaweza nisaidia kujua wapi umefika na nifanye Nini labda.

RB051347735SG tacking number hiyo hapo.

Asanteni Sana.
Mzigo wako umetua TZ leo
 
Jameni nisaidieni, nimeagiza mzigo tarehe 11/01/2021 lakini mpaka sasa mzigo umeganda overseas office tangu 17/01/2021 sijui Kuna yeyote anaweza nisaidia kujua wapi umefika na nifanye Nini labda.

RB051347735SG tacking number hiyo hapo.

Asanteni Sana.
Mizigo huwa inachukua mwezi kutokea China. Around hizi tarehe utaupata tu.
 
Ina ngapi kama nikiagiza?
Kama 330,000
Mpaka ikufikie
-1086450955651035694.jpg
 
Pocco m3 , redmi note9 4g na redmi 9T ni simu aina moja , pocco being the cheapest of them all,
 
Samahani kwani ni Mara yako ya kwanza kuagiza mzigo mtandaoni?
Hv wazee nataka kuagiza mzigo ila nahofia makato ya tra,maana kuna mdau alileta uzi juu ya makato hayo kuwa makubwa sana,wazoefu nifafanulieni gharama za tra nikienda chukua mzigo posta
 
Hv wazee nataka kuagiza mzigo ila nahofia makato ya tra,maana kuna mdau alileta uzi juu ya makato hayo kuwa makubwa sana,wazoefu nifafanulieni gharama za tra nikienda chukua mzigo posta
Unaagiza nini hadi uhofie makato? Labda kama unaagiza kibiashara package kubwa 25-40Kg ila kama ni hizi simu binafsi sijawahi kukatwa zaidi ya ile tozo ya watu wa posta Tshs 2350!! Na nishaagiza mara nyingi sana mwendo ni uleule 2350 nakamata parcel nasepa.

Ila kuna mdau aliwahi sema kama unaaagiza na una hofu ya kukatwa na hao TRA, unaanza kumpanga seller aweke low price kitu cha dolar 400 unamwambia aandike dolar 40 ila Mimi sijawahi waambia wa-declear low price. Kazi kwako
 
1. Kwa fast charging samsung inayo 15w, wakati 9a haina. Ni 10w kawaida, samsung ina 4000mah na 9a ina 5000mah hivyo hio A11 itajaa faster zaidi.

2. Kuhusu Band zote zina coverage ya Band zote Tz sema 9A ina Lte Advance hivyo kwa baadhi ya Mitandao pengine ikawa na speed zaidi.

3. Perfomance A11 ipo juu zaidi kuliko 9a

Sema mkuu kuna redmi 9 kama unaipata kwa kenya Haifiki laki 3 ni nzuri kushinda zote hizi mbili.
Mkuu kati ya redim 9 na pacco m3 ipi iko poa?
 
Back
Top Bottom