andythelast
Member
- Mar 22, 2014
- 65
- 23
Njombe mkuu,ndo nimenunua hivi juzi tu je nifanye settings gani au vitu gani vya awali kabla ya kuanza kuitumia.Mkuu uko wapi na una hitaji nn hasa kua muwazi tu usijali tutashirikiana pale panapobidi
mkuu kama hutojali nicheki hapo nikupe maelekezo plz 0717135641Njombe mkuu,ndo nimenunua hivi juzi tu je nifanye settings gani au vitu gani vya awali kabla ya kuanza kuitumia.
Mpaka inafika dar ni ngapi boss ukiachana na kufika njombeView attachment 671612 View attachment 671597 Nami nashukuru sana kwa uzi huu hasa mzee Kilangi masanja ambao umenipelekea na mimi kuvutiwa na hizi simu na jana nimepokea simu yangu ya redmi note 4 4gb ram 64 GB ROM (thanks to Mwl.RCT) baada ya wiki kama tatu hivi baada ya kuagiza maana niko mbali kidogo,sasa nami naomba mnipe maujanja niweze kuinjoy hii simu.
Hii thread ili ni inspire sana kutumia simu xiaomi.
Nikaagiza yangu xiaomi mi5x (MiA1) kupitia huduma ya Mwl. RCT mnamo tarehe 3january nilipokea mzigo wangu.
Na enjoy tu...
Hii thread ili ni inspire sana kutumia simu xiaomi.
Nikaagiza yangu xiaomi mi5x (MiA1) kupitia huduma ya Mwl. RCT mnamo tarehe 3january nilipokea mzigo wangu.
Na enjoy tu...
Hili swali umeuliza kwa simu ipi mkuu?Bei gani hii mkuu?
ngoja nikachekWakubwa nimeona kama Xiaomi india.com wana bei ya chini kuliko hata gearbest Na banggood au aliexpesss
$209Kwa hii Xiaomi
Ok$209