BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Kwa nini ni useless mkuu, nimeziona sana kwenye maduka ya tigo?Redmi 10 kwa hio bei ni useless kabisa ila kMa ni note 10 axhukue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini ni useless mkuu, nimeziona sana kwenye maduka ya tigo?Redmi 10 kwa hio bei ni useless kabisa ila kMa ni note 10 axhukue
Tupo pamoja kiongozi, natimia xiomi baada ya kupata ujanja kwenye huu uzi wakoHabari ndugu zangu, leo hii tukiwa tumebakiwa na siku chache kuelekea kuufunga mwaka ,nipende kuwasalimu na pia kumshukuru Muumba kwa kutuwezesha kufikia hapa ,familia imekua na changamoto hazitokosekana pia ,nitumie uzi huu na mda huu kuitisha maoni , mchango na maswali yeyote kuhusu brand hii pendwa kwa wale walionayo na wasio nayo.
Pia kupitia uzi huu tupeane taarifa kwa kwa wale wauzaji upatikanaji wa bidhaa hizi hapa nchi ,pia kwa wale mnaouza used pia pitieni hapa kuweka mabandiko yenu .Uzi upo na grupu la takribani watu elfu moja 1000telegram so unaweza ingia tu telegramu kisha pale juu search Xiaomi users Tz utakua umetupata
Uko na modeli ipi karibu kuongezea baadhi ya vitu kwa grupu yetuTupo pamoja kiongozi, natimia xiomi baada ya kupata ujanja kwenye huu uzi wako
Karibu kwenye familia mkuu, tofauti ipo kubwa sana ukiachilia mbali swala la kukaa na charge utaendelea kuona utofauti taratibu kadri unavoendelea kutumia, Bila shaka utakuwa balozi mzuri Kwa ndugu zako wa Infinix na TecnoSas na mm nmehamia kweny xiaomi 9T nmeachana na infinix kwel kunautofauti mkubwa sana, pia inakaa na charge mda mrefu sana 4 ram/128 rom kwa 435k
Nashukur mkuu ni kwel utofaut upo mkubwa sema mengne nmeona kazi tu kuelezeaKaribu kwenye familia mkuu, tofauti ipo kubwa sana ukiachilia mbali swala la kukaa na charge utaendelea kuona utofauti taratibu kadri unavoendelea kutumia, Bila shaka utakuwa balozi mzuri Kwa ndugu zako wa Infinix na Tecno
Endelea kuenjoy Redmi 9T yako wakati unaangalia uwezekano wa kupanda daraja ili uendelee kula mema ya mchina wa viwango vya standard gauge
Huko mbelen nitapanda tu jamaa alitak aniuzie redmi 10 4ram/64 kwa 430k mm niliamua kuchukua hiiKaribu kwenye familia mkuu, tofauti ipo kubwa sana ukiachilia mbali swala la kukaa na charge utaendelea kuona utofauti taratibu kadri unavoendelea kutumia, Bila shaka utakuwa balozi mzuri Kwa ndugu zako wa Infinix na Tecno
Endelea kuenjoy Redmi 9T yako wakati unaangalia uwezekano wa kupanda daraja ili uendelee kula mema ya mchina wa viwango vya standard gauge
Pamoja mkuuHuko mbelen nitapanda tu jamaa alitak aniuzie redmi 10 4ram/64 kwa 430k mm niliamua kuchukua hii
Hii apa.Habari za mwaka mpya ,
Natumaini maisha yanasonga mwana xiaomi now unaweza tupata kwenye grupu yetu na mambo yakawa sawa fanya ku scan hii.
share link ili tujiunge
share link ili tujiunge
Mimi mbona inaniambia hivi au nakosea?![]()
Xiaomi Users TZ 🇹🇿
Karibu kwenye official group la fans na watumiaji wa simu za Xiaomi n.k 🇹🇿, Kua huru ku share ujuzi na uzoefu wako wa kutumia simu hizi, Features mpya za MIUI na uzoefu wa manunuzi kutoka Aliexpress, Amazon, eBay, Banggood, Taobao, Gearbest, Alibaba n.kt.me
Cheki Tigo shopNauliza bei ya Redmi 9 na Redmi 9T na wapi naweza kuzipata full in box ?
Redmi 10 rom 128 /ram 4 kwa 455000Nauliza bei ya Redmi 9 na Redmi 9T na wapi naweza kuzipata full in box ?
Redmi 9T nilinunua kwa 435000 sema aliniambia zmeishaNauliza bei ya Redmi 9 na Redmi 9T na wapi naweza kuzipata full in box ?
Paka nais ni copyKwa nini ni useless mkuu, nimeziona sana kwenye maduka ya tigo?