Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Wakuu mwenye Google Pixel 2XL nahitaji haraka iwezekanavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dubai stock auRedmi 10 rom 128 /ram 4 kwa 455000
HapanDubai stock au
All photo hizo ni thumbnail tu, picha yenyewe ipo kwenye whatsapp photo.wakulungwa, nina Redmi note 10, naomba kufahamishwa kama ninaweza kupunguza idadi ya Albums kwenye gallery. Namaanisha kwamba, kwenye gallery ukitumiwa picha kwa Whats app inaenda kwenye Album ya Whats app na wakati huohuo picha hiyohiyo unaikuta kwenye Album ya All photos, sasa hakuna uwezekano wa kufanya zote zikae kwenye Album husika? nkaifuta Album ya All photos?
Xiaomi note10 pro ntapata kwa bei gan mkuu?
Nadhani ni 700,000 Sina uhakikaXiaomi note10 pro ntapata kwa bei gan mkuu?
Pole bro, hawajamaa masimu yao yanachuja fasta na kuwa slow, mwanzoni kama simu ya maana hivi baadae linastack kama li tecno tu,yako over ratedPaka nais ni copy
Si wanatuma mkoani mkuu?
Hao warusi si ndo hawana majaabu?maaana wameshindwa hata kucopy tu?Na Huawei sio kwamba Hana Hela za ku develop OS, hii ni multi billion company, Sema tu culture za kichina zinawarudisha nyuma.
Waende tu Finland ama Urusi watapata MA injinia wa kutosha kukamilisha lengo lao.
Kulikuwa na Os inaitwa meego ya Nokia, Baada ya Nokia kuacha kutengeneza simu wakajitenga na kutengeneza os yao inaitwa sailfish.Hao warusi si ndo hawana majaabu?maaana wameshindwa hata kucopy tu?
Hili unaweza kufanya wakati wa kupiga picha au hata baada ya kuwa umeshapiga picha.Hivi nawezaje kupiga picha na ikatoka na maneno? Mfano, nimepiga picha jengo nataka Ile picha ya jengo kwa chini yaonekane maneno fulani, achana na hizi zinazoonyesha aina ya simu...d
Ni laki 7, hiyo bei hapo kwenye picha haipo.
Nomba link hiyo page?
HATUKUELEWI CHIEFTupo pamoja kiongozi, natimia xiomi baada ya kupata ujanja kwenye huu uzi wako
Pole bro, hawajamaa masimu yao yanachuja fasta na kuwa slow, mwanzoni kama simu ya maana hivi baadae linastack kama li tecno tu,yako over rated
Tunayotumia zaidi ni UK PlugNaomba kueleweshwa, wakati wa kuorder simu alliexpress Kuna sehem ya kuchagua plug mfano uk plug, us au au plug. Sisi Tanzania tunatumia pug ipi?