Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Mix 2. Hii ni high-end smartphone nzuri sana.
18:9 screen, 5.99" Full screen display
12% reduced chin size
Hidden speaker & proximity sensor
Snapdragon 835, 6GB RAM
Sony IMX386 sensor, 1.25μm large pixels
4-axis optical image stabilization
Four-sided curved ceramic body
7-series aluminum alloy frame
Global LTE support, 6 modes 43 bands

6938cf9ec5333e21f0d47ecb58ee2b0f.jpg
d697d6742a7f6eb8183fec9dc06ab1ca.jpg
00c9dea32663ce62e7845efb01782b34.jpg
7c693fa51673e603d1807c23e28a066f.jpg

eda733bc13320d0ea70a654d9a284011.jpg
Ntainunua hii pia mwisho wa mwezi, shukran kwa details
 
okay.dah bas itabidi nirudi tena kwa iphone 5s au SE maana ndo nakua huru zaidi kwa cm ya inch 4
cheki na Sony au Samsung.

Kwa samsung wana galaxy A3 2017 ni simu nzuri kiasi chake.

na sony wana xz1 compact ambayo ni latest kwa specs. ina sd835 4gb ram.

sony-xperia-xz1-compact-1.jpg
 
binafsi natumia redmi note 4x (4g rom, 64gb internal)
na kwa tatzo lolote kuhusu mi device yako just check me
 
Hello wanajukwaa natumia hili pendwa natumaini mu wazima.

Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi.
BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri for affordable price.
KARIBUNI
redmi note 4x (4gb rom, 64gb internal)
before nimetumia redmi note lte, mi max, note 2
 
Xiaomi mi max 32GB
6.44" Display
RAM: 3GB
Tip top condition
Dual simcard
Bei 380,0000 (negotiable)
Call/whatsapp 0659782778
eab6f3b8202fbecf77332038264618a8.jpg
4682d9553f894f128427f16f3f4dc4e4.jpg
ff65b1b8724427196ba25b9a96860e9f.jpg
8227edea00a006e644372ec667340db6.jpg
 
wataalamu naomba msaada,nashindwa kuconect network nimejaribu japo sio mtaalam ,ni redmi note 4
 
Wakuu nimesoma thread nzima mdo naimaliza,,nimeona kati ya hizo simi hizi mbili moja wapo itanifaa,,napenda sana picha nzuri so mnishauri kati ya MI MIX 2 au MI6?kuna mtu anakuja nataka kumuagiza ASAP @chiefmkwawa msauziy
Cheers
Agiza hii: Xiaomi Mi Mix 2
upload_2018-1-25_12-38-58.png
 
Toa Maelezo Ili Tununue Bei Inaanzia Ngapi ? Kamera Zake Ukubwa Gani Na Je Ni Quality ? Vip Ram Na Processer ?
Bei: Ni bajeti yako tu, Zipo za kuanzia USD120 hadi USD600
Quality: Zinaubora mkubwa, kwa bei nafuu, Zinafananishwa na iPhone,
Camera: Zipo kuanzia 8mp hadi 13mp

Baadhi ya Xiaomi zenye ubora mkubwa wa kulinganishwa na matoleo mapya ya brand kama Samsung au iphone ni hizi.

1. Xiaomi Mi Mix 2 au hii 2. Xiaomi Mi 6
upload_2018-1-25_12-49-8.png



3. Xiaomi Mi A1
upload_2018-1-25_12-51-8.png


4. Xiaomi Redmi Note 4
upload_2018-1-25_12-52-57.png
 
Back
Top Bottom