Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Guys cover za Xiaomi RedMi5 naweza nikapata wapi hapa dar
 
Wakuu wenye uzoefu kwa bajeti ya 350k-400k naweza pata xiomi ipi ambayo ni Mi series??

Je vip kusu specification ya hiyo simu mnayoipendekeza kuanzia battery though ningependa zaid kuanzia 4000mAh..display...CPU..camera....ROM..RAM

Shukran.
Choose Redmi Note 5, you will never regret
 

Attachments

  • IMG-20180919-WA0007.jpg
    30.2 KB · Views: 62
Mwenye Xiaomi yoyte used anaeuza anitafute Nahitaji..

Anicheki DM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…