Poapoa chief, nmeielewa sana hii kitu,Hii haijaanza kuuzwa rasmi kwa global version, iliyopo ni Chinese version. Global version itaanza kuuzwa baada ya Chinise New Year.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poapoa chief, nmeielewa sana hii kitu,
Kwa kukadiria niandae bei gani yny ram 4gb na internal 64gb,maana now nna Rmi5+ ,najua hio mpya itakua bora zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu.View attachment 996028
Bei itakuwa ni kati $150 hadi $210 inategemeana na RAM na storage. Pia itakuwa bora zaidi muonekano kiujumla, chipset yenye nguvu zaidi, pia nilichikipenda itakuwa na Type-C 1.0 reversible connector kwa maana hiyo ina support Quick Charge 4, kingine kizuri itakuwa na protector Corning Gorilla Glass 5, so itabamba sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenunulia hapa hapa bongo au online?
Online boss wangu Bongo nisingeweza bei yake kama una hela nivue na unaogopa kuagiza nje teh.Umenunulia hapa hapa bongo au online?
itavuliwa kwa ngapOnline boss wangu Bongo nisingeweza bei yake kama una hela nivue na unaogopa kuagiza nje teh.
hii itanifanya niuze note 5pro yanguView attachment 996028
Bei itakuwa ni kati $150 hadi $210 inategemeana na RAM na storage. Pia itakuwa bora zaidi na muonekano kiujumla, chipset yenye nguvu zaidi, pia nilichokipenda itakuwa na Type-C 1.0 reversible connector kwa maana hiyo ina support Quick Charge 4, kingine kizuri itakuwa na protector Corning Gorilla Glass 5, so itabamba sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete 600,000 nikuachie.
Hii mashine ikoje Mkuu hasa kwenye speed na Camera!?
Mimi ndo kwanza nina siku moja tangu iwe mikononi ila naaminini maahine kali sana kwa bei husika mkuu camera ya usiku nimeona kali,lags bado sijazigumia mkuu kiufupi iko poa.Hii mashine ikoje Mkuu hasa kwenye speed na Camera!?
Maana na ya yangu ipo njiani sijui itachukua muda Gani kufika Bongoland
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfuko wako tu kama uko vizuri tafuta Mi 8,
Bongo hapa zinapatikana wapi au ndio mpaka ununue online?Mfuko wako tu kama uko vizuri tafuta Mi 8,
Bongo utauzia hadi 2m kama tu huko Duniani zinauzwa around 900k to 1m na kitu huko.
Ndio mkuu, hii Mi Mix 3 ni flagship na Note 6 Pro ni mid-range. Kwahyo Mi Mix 3 kwa ubora wa camera ni nzuri zaidi.View attachment 998293