Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

nimepoteza Mi capsule juzi kati kama unazifahamu saiv nimeagiza wireless earphone flan hv za qcy nlikutana nazo kwenye flash deal alf zilkua na order nyng sana na review nzuri nkaamua nzchukue ndo naziwait kwa sasa natumia tu earphone za kawaida hizi za bku5 5 tu while nasubria hzo earbuds

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi capsule nazijua ,,zina sura nzuri..vp zinapiga?

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
niliona alternative ya Mi airdots coz zile bei sana baada yakuona hz na watu wanazisifia nkachukua tu
Screenshot_2019-01-15-01-08-49-401_com.alibaba.aliexpresshd.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kwel alie okota ana bahati,nitakuja kununua mi capsule niwe nazo pia

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
chukua Bro zinavutia sana pia znasound nzr Mi napenda kitu chenye muonekano mzr yan..sema posta wajnga sana sjui kwann earphones wanazweka kwny RDP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa natumia Nokia Lumia 1320 ina gorilla glass 3... Nimetumia mwaka mzima bila kuweka pretector lkn haijawahi kuchubuka hata. Hizo gorilla glass zina matoleo tofauti tofauti. Pia kitu kingine nilichokuwa na-enjoy ni kuweza kuchat au kutumia cm hata nikiwa juani maana naona vizuri kabisa sina haja ya kuweka mkono kwa juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ya kuchat juani ni clear black display ambayo ni technology ya Nokia haina mahusiano na Gorilla.

Kuhusu kutochubuka utunzaji pia unatofautiana
 
Hizi Rock zircon mbona review yake si nzuri naona wanasema baada ya miezi 2 tu hamna kazi na ukipitia hizi za Xiaomi Piston 3 pia naona wanalalamika hazina base anyway mimi ni mdau wa earphone ambazo zinakuwa hivi je kampuni gani ni recommended?
Screenshot_20190115-105313.png

Screenshot_20190115-105237.png

Hizi naonaga kama zinaniumiza masikio zenye hivi vipira ambavyo vinaingia ndani ya sikio kabisa
Screenshot_20190115-105526.png
 
Mi simu zangu napendaga kutumia bila glass wala cover naenjoy muonekano wa simu ata nikikuta na protector huwa nang'oa...kwny swala la uchubukaji nafikiri ni utunzaji wako tu schanganyi simu na coins wala ktu chochote kigumu na kioo huwa hakchubuki sipingani na hoja ya jamaa kua vumbi linachubua kioo...lakini huu ni upendeleo wangu tu situmia glass wala covers

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe kama mimi protector, cover sitaki kusikia zina haribu mwonekano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimepoteza Mi capsule juzi kati kama unazifahamu saiv nimeagiza wireless earphone flan hv za qcy nlikutana nazo kwenye flash deal alf zilkua na order nyng sana na review nzuri nkaamua nzchukue ndo naziwait kwa sasa natumia tu earphone za kawaida hizi za bku5 5 tu while nasubria hzo earbuds

Sent using Jamii Forums mobile app
161DE7DB7AD58E53.png
CD830304E1188F9E.png

QCY ni nzuri sana pia kuna hizi Anker SoundBuds Slim nazo ni nzuri mno, zinakuwa na warranty ya 18 months.
IMAG0552.jpeg
IMAG0551.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi Rock zircon mbona review yake si nzuri naona wanasema baada ya miezi 2 tu hamna kazi na ukipitia hizi za Xiaomi Piston 3 pia naona wanalalamika hazina base anyway mimi ni mdau wa earphone ambazo zinakuwa hivi je kampuni gani ni recommended?
View attachment 994828
View attachment 994829
Hizi naonaga kama zinaniumiza masikio zenye hivi vipira ambavyo vinaingia ndani ya sikio kabisa
View attachment 994831
Rock Zircon hazidumu kabisa, ila inategemea na utunzaji wa mtu. Pia hizo piston colourful edition kwenye upande wa sound sio nzuri kilvile, kwa sasa hizi wired earphone za Xiaomi ndio unaweza fananisha na Zircon, zinaitwa Xiaomi Hybrid DC Earphone
98727C42E74B7780.png
C996A4E2E4B9A275.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi Rock zircon mbona review yake si nzuri naona wanasema baada ya miezi 2 tu hamna kazi na ukipitia hizi za Xiaomi Piston 3 pia naona wanalalamika hazina base anyway mimi ni mdau wa earphone ambazo zinakuwa hivi je kampuni gani ni recommended?
View attachment 994828
View attachment 994829
Hizi naonaga kama zinaniumiza masikio zenye hivi vipira ambavyo vinaingia ndani ya sikio kabisa
View attachment 994831
Rock zipo poa sana...shida ya rock ni ile connector ndio inayolalamikiwa..sijajua kama wamefix tayar..

Ila yangu ninayo tangu mwaka jana mwez wa pili,haijaleta shida hadi leo

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Rock zipo poa sana...shida ya rock ni ile connector ndio inayolalamikiwa..sijajua kama wamefix tayar..

Ila yangu ninayo tangu mwaka jana mwez wa pili,haijaleta shida hadi leo

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Aisee mkuu binafsi sipendi earphone zenye vipira huwa nahisi vinaniumiza masikio, so hawa rock hawana version ya earphone za kawaida?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
za xiaomi aina gani unazo Bro..Mi rock sjawahi kuztumia ila xiaomi earphone zake nzuri sana hasa Mi piston Pro ziko vizuri sana kuanzia muonekano wake ni premium yani hadi sound quality ila bei yake ni kubwa kidogo..vile vile nlikua na Mi capsule hizi nmekaa nazo mwaka mzima hazjawahi sumbua kitu chochote sema zimepotea juzi nimeamua kuagiza earbuds flani hv za qcy niliona reviews watu wanasema ni nzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hizohizo Mi Piston ila sio Pro. Ila nimeona reviews nyingi wanasema kwamba zinapiga vizuri zaidi zikiwa kwenye simu ya Xiaomi

Mkuu naomba hiyo link ya hizo earbuds

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rock zipo poa sana...shida ya rock ni ile connector ndio inayolalamikiwa..sijajua kama wamefix tayar..

Ila yangu ninayo tangu mwaka jana mwez wa pili,haijaleta shida hadi leo

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mkuu nakwambia wewe ulibahatika maana kwenye watu 10 waliowahi tumia Rock 8 wanakwambia hazidumu. Shida ni lile liconnector lao
Rock Zircon hazidumu kabisa, ila inategemea na utunzaji wa mtu. Pia hizo piston colourful edition kwenye upande wa sound sio nzuri kilvile, kwa sasa hizi wired earphone za Xiaomi ndio unaweza fananisha na Zircon, zinaitwa Xiaomi Hybrid DC EarphoneView attachment 994906View attachment 994910

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo Hybrid Dc nimezielewa Sana aseee,vipi sound quality yake zinazidi Rock?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom