Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Zako uliagiza toka store Gani Mkuu,unaweza nisaidia link

Sent using Jamii Forums mobile app
TZS 21,963 43%OFF | Rock Zircon Stereo Earphone In Ear Headset With Micro 3.5mm In Balanced Immersive Bass Earphones for iPhone for Xiaomi Huawei
US $9.66 42% OFF|Rock Zircon Stereo Earphone In Ear Headset With Micro 3.5mm In Balanced Immersive Bass Earphones for iPhone for Xiaomi Huawei-in Phone Earphones & Headphones from Consumer Electronics on Aliexpress.com | Alibaba Group

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
TZS 21,963 43%OFF | Rock Zircon Stereo Earphone In Ear Headset With Micro 3.5mm In Balanced Immersive Bass Earphones for iPhone for Xiaomi Huawei
US $9.66 42% OFF|Rock Zircon Stereo Earphone In Ear Headset With Micro 3.5mm In Balanced Immersive Bass Earphones for iPhone for Xiaomi Huawei-in Phone Earphones & Headphones from Consumer Electronics on Aliexpress.com | Alibaba Group

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hii ni store ambayo na Mimi niliagiza,nahisi zangu walinipa feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hadi usb natumia ya rock [emoji3]
20190114_231455.jpeg


Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
mpaka sasa dispute zote nimeshinda na evidence natoa kama nimepokeakina.tatizo, sasa nikuulize huo mzigo umepotea posta nchini kwako je wewe ulikufikia? kwa hiyo kila mzigo ukipotea nchini kwako hujaupata kosa linakua la kwako wewe si.ndio ambao umezembea airport kwenda kuchukua parcel yako sio? taratibu kwanza sheria zote za mule umezisoma? ili mzigo uwe halali kwako ni lazima upokee wewe au ufate airport?
sawa mzee mm naagiza mzigo ili niupate sio maswala ya refund ningekua nataka hela zangu ningekua na kaa nazo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye dispute unatakiwa uwe mjanja Sana,kumbana Seller pande zote na kutoa strong evidence vinginevyo unajifunga mwenyewe!!!
Mi sijawahi shindwa dispute, pia Kama Mara 3 nilishinda dispute pesa zikarudi then mizigo ikafika nje ya muda uliowekwa so ikabidi nimalizane nao pembeni kujenga uaminifu
View attachment 993828
Mi pia huwa nashinda dispute ila spendi dispute unafanya tu inapobidi kwasababu mtu unaagiza mzigo ukiwa na nia yakuupata sio kuanza kurumbana...vile vile kuna rafiki yangu alishawahi ibiwa simu yake akafungua dispute baada ya aliexpress kuona uthibitisho kua mzigo ulkua ukitrackiwa mpk kufika hapa nchini ndo ukapotea ikaonekana seller hana kosa lolote kwakua altekeleza wajibu wake hivo akashinda na jamaa hajapata refund wala nn...ndo maana huwa sitegemei dispute kwa asilimia zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rock ni nzuri sana kushinda Xiaomi tatizo hazichelewi kuharibika na hata kwenye reviews nimeona watu wengi wanalalamikia hilo.

Zangu zilikaa miezi miwili tu ile connector ikaanza kusumbua,Sasa nina za Xiaomi nazo ni nzuri ila sio kuzidi Rock

Sent using Jamii Forums mobile app
za xiaomi aina gani unazo Bro..Mi rock sjawahi kuztumia ila xiaomi earphone zake nzuri sana hasa Mi piston Pro ziko vizuri sana kuanzia muonekano wake ni premium yani hadi sound quality ila bei yake ni kubwa kidogo..vile vile nlikua na Mi capsule hizi nmekaa nazo mwaka mzima hazjawahi sumbua kitu chochote sema zimepotea juzi nimeamua kuagiza earbuds flani hv za qcy niliona reviews watu wanasema ni nzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea mazingira ya dispute!!
Kama mzigo wako umepotelea postal lazima ukomae na posta masta ajaze form za upotevu mfano Kama wa hapo chiniView attachment 993998
Then unaituma AliExpress Kama evidence yako japo Mara nyingi watu wa posta huwa hawajazi Kama usipokomaa nao.
Hiyo paper inaonyesha wapi mzigo umepotelea pia mawasiliano baina ya postal ulipotoka mzigo na postal inayopokea yanafanyika kabla ya kupewa hiyo form.
Evidence nyingine Ni kutuma picha na video Kama mzigo uliotumwa haupo Kama ulivyotegemea au una hitirafu fulani
posta wasumbufu sana Bro hasa swala la mizigo iliyopotea hawajishughulishi kabisa watakuzungusha mpk ukate tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sina uhakika kama hizi earphone zinaweza kushinda earphone za xiaomi labda hizi kwamba ni bei nafuu tu lakin trust me Bro xiaomi wana earphone nzuri sana na nyingi lakini ni bei kidogo tofaut na hzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Braza earphone za xiaomi tushatumia,hawafati rock mzee...muulze jamaa anaitwa Utakuja ni member humu akusimulie sound ya rock..

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Kuongezea hapa Gorilla glass zinaweza kuwa scratched na Quartz ambayo inapatikana rahisi kwenye vumbi

Madini yanapimwa ugumu kwa kutumia mohz na yanakuwa categorized kuanzia 1 mpaka 10. Dini gumu zaidi ni almasi na yenyewe ina maksi ya 10.

Kioo cha gorilla kinakuwa around 6 hakifiki 7 na quartz yenyewe ni 7 hivyo hii Quartz ina uwezo wa kuscratch vioo vya Gorilla.

Hivyo vumbi lililopo juu ya kioo cha simu yako likikutana na sarafu ama funguo simu yako itapata michibuko kirahisi.

Ndio maana hata kama mtu simu yake ina gorilla glass anaweka protector.
Nilikuwa natumia Nokia Lumia 1320 ina gorilla glass 3... Nimetumia mwaka mzima bila kuweka pretector lkn haijawahi kuchubuka hata. Hizo gorilla glass zina matoleo tofauti tofauti. Pia kitu kingine nilichokuwa na-enjoy ni kuweza kuchat au kutumia cm hata nikiwa juani maana naona vizuri kabisa sina haja ya kuweka mkono kwa juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Braza earphone za xiaomi tushatumia,hawafati rock mzee...muulze jamaa anaitwa Utakuja ni member humu akusimulie sound ya rock..

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
earphone ipi ya xiaomi ambayo ulitumia ww bro?...hizi rock nmetoka kuziangalia nmegundua ni bei nafuu tu na pia ata order zake ni chache sana labda zinasound zuri sawa ila muonekano wake mbovu mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa natumia Nokia Lumia 1320 ina gorilla glass 3... Nimetumia mwaka mzima bila kuweka pretector lkn haijawahi kuchubuka hata. Hizo gorilla glass zina matoleo tofauti tofauti. Pia kitu kingine nilichokuwa na-enjoy ni kuweza kuchat au kutumia cm hata nikiwa juani maana naona vizuri kabisa sina haja ya kuweka mkono kwa juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi simu zangu napendaga kutumia bila glass wala cover naenjoy muonekano wa simu ata nikikuta na protector huwa nang'oa...kwny swala la uchubukaji nafikiri ni utunzaji wako tu schanganyi simu na coins wala ktu chochote kigumu na kioo huwa hakchubuki sipingani na hoja ya jamaa kua vumbi linachubua kioo...lakini huu ni upendeleo wangu tu situmia glass wala covers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
earphone ipi ya xiaomi ambayo ulitumia ww bro?...hizi rock nmetoka kuziangalia nmegundua ni bei nafuu tu na pia ata order zake ni chache sana labda zinasound zuri sawa ila muonekano wake mbovu mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue ya muonekano ni ww unavochukulia tu...

Xiaomi nilizowah test ni zile hybrid za mwanzo kuna mwanangu alkua nazo...

Experiance inayotoka mweny rock zircon sikuipata mule..I wish ungekua karbu usikie sound ya rock mkuu..

Juzi mwanangu mmoja aliomba azitest,,pale pale ikabid aagize aliexpress.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Haina shida mkuu...Fanya hivyo

We unatumia zipi saiz?

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
nimepoteza Mi capsule juzi kati kama unazifahamu saiv nimeagiza wireless earphone flan hv za qcy nlikutana nazo kwenye flash deal alf zilkua na order nyng sana na review nzuri nkaamua nzchukue ndo naziwait kwa sasa natumia tu earphone za kawaida hizi za bku5 5 tu while nasubria hzo earbuds

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom