Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Hii brand sijui nilichelewa wapi kuijua!!!
Kwa wale wasioweza kununua simu mpaka waone zimewekwa matangazo kwenye mabango kule Agrey na Uhuru basi watauziwa ma-refurbished mpaka akili ziwakae sawa.
Toka nimezijua simu janja sikuwahi kupata simu itakayonitoa stress za charge kila wakati,ila hii mashine natumia ninavyotaka,camera nzuri,muonekano smart yani ipo smooth data sizimi yaani nafanya vulugu ninavyotaka ile kuangalia angalia top bar kila wakati ili nijue charge imebaki percentage ngapi nimesahau.
Asante JamiiForums maana bila hii forum wala nisingejua hii kitu,tatizo mitaani watu wanakariri sana ukiomba ushauri wa simu ipi nzuri zaidi ya kuambiwa nunua Samsung,Huawei sijui Tekno au Infinix ambazo still zina matatizo mengi hakuna atakaekupa wazo linaloenda zaidi ya hapo,mpaka sasa nina vichwa viwili vimeachana na Samsung na iPhone wapo kwenye Xiaomi.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kwa wale wasioweza kununua simu mpaka waone zimewekwa matangazo kwenye mabango kule Agrey na Uhuru basi watauziwa ma-refurbished mpaka akili ziwakae sawa.
Toka nimezijua simu janja sikuwahi kupata simu itakayonitoa stress za charge kila wakati,ila hii mashine natumia ninavyotaka,camera nzuri,muonekano smart yani ipo smooth data sizimi yaani nafanya vulugu ninavyotaka ile kuangalia angalia top bar kila wakati ili nijue charge imebaki percentage ngapi nimesahau.
Asante JamiiForums maana bila hii forum wala nisingejua hii kitu,tatizo mitaani watu wanakariri sana ukiomba ushauri wa simu ipi nzuri zaidi ya kuambiwa nunua Samsung,Huawei sijui Tekno au Infinix ambazo still zina matatizo mengi hakuna atakaekupa wazo linaloenda zaidi ya hapo,mpaka sasa nina vichwa viwili vimeachana na Samsung na iPhone wapo kwenye Xiaomi.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk