Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Kuna watumiaji wenye matumizi madogo ambao wakiweka WhatsApp na FB basi inamtosha. Pia lengo lao ni kuwafikia wateja wenye vipato vyote.At least wangefanya 16Gb coz 8gb 2019 siyo kabisa!!!
Ni Kama vi Tecno s2,F1,f2 na f3
250k unapata Redmi 6A. OnePlus simu zao ni high-end, hakuna ya bei raisi.Zinapatikana hapa TZ?
Kwa laki 2.5 naweza pata aina gani
Vipi kuhusu hizi Oneplus
At least wangefanya 16Gb coz 8gb 2019 siyo kabisa!!!
Ni Kama vi Tecno s2,F1,f2 na f3
Wakuu, nimebadili ID yangu ya awali msauziy na kuwa mr_mobile . Kwa shida yoyote ile msisite kuwasiliana nami PM au kwa WhatsApp
Share on WhatsApp
Karibuni.
Si Bora wangezirudisha zile Xiaomi redmi 4A then wangeziuza around 75 USD ingekuwa mzuka sana.Mi 6 hiyo. Redmi Go ni low-end, kwa wenye kipato cha chini mkuu, wasiokuwa na uwezo wa kukamata mid-range au high-end.
Hizo zipo boss kuna Redmi 6A, na baadae watatoa Redmi 7A.Si Bora wangezirudisha zile Xiaomi redmi 4A then wangeziuza around 75 USD ingekuwa mzuka sana.
Techno ni was€nge tu sina hamu naoSnapdragon na mediatek wapi mkuu wewe unajua ukishika xiaom unajua umeshika simu xiaom hata ikiwa rom iko 8GB inaweza ikawa nzuri sio tecno wanakujazia mi app kibao hata usioitaka tecno sports Sijui video za manual kabla hujaweka zako wao tecno washajua unataka app zao zisizo na maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichojifunza watz tunanunua kitu kilichopo tz tecno ndio zipo kila kona pia gharama ya Tecno ni kubwa sana mfano kuna best yangu alinunua tecno yenye RAM 3GB ROM 16 kwa 380k wakati online kuna mediatek za mpaka 260k zenye spel kubwa kuliko hiyo ya Tecno. Tecno zinamatatizo kibao hata ingekuwa na RAM 10GB bado matatizo hayaishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shida inaweza kuwa nini note 6 pro yangu inatafuna sana umeme na ina week 3 tu ni miui 10 au nini boss? Pia je kama ni miui 10 wakifix si naweza nikawa nishapoteza battery au kipi kitafanya battery iwe poa tena.Hizo zipo boss kuna Redmi 6A, na baadae watatoa Redmi 7A.
Copyright [emoji767] 2017-2019 Mr. Mobile, Inc. All Rights Reserved.
Mkuu pole sana kwa hiyo changamoto ingawa na mimi natumia hiyo simu but sijaona hiyo chamgamoto nikiamka ausubuhi na 100% data huwa ipo ON na matumizi ya kawaida kuongea na simu,sms, na kupitia social network plus gaming mara moja moja hadi kufika saa nne usiku betri inakuwa na around 40%.Mkuu shida inaweza kuwa nini note 6 pro yangu inatafuna sana umeme na ina week 3 tu ni miui 10 au nini boss? Pia je kama ni miui 10 wakifix si naweza nikawa nishapoteza battery au kipi kitafanya battery iwe poa tena.
Ni heavy User wa Data on kutokana na pilika zangu ila kuanzia asubuhi hadi saa 12 inakuwa imekata na naona charge inavoshuka kuna mda hata kama iko idle hivi.Mkuu pole sana kwa hiyo changamoto ingawa na mimi natumia hiyo simu but sijaona hiyo chamgamoto nikiamka ausubuhi na 100% data huwa ipo ON na matumizi ya kawaida kuongea na simu,sms, na kupitia social network plus gaming mara moja moja hadi kufika saa nne usiku betri inakuwa na around 40%.
Wewe kwako inakuwaje mkuu.
SangaweJr
Simu za Android (MIUI) kwa sasa zina battery management ambayo ipo kwenye OS.Mkuu shida inaweza kuwa nini note 6 pro yangu inatafuna sana umeme na ina week 3 tu ni miui 10 au nini boss? Pia je kama ni miui 10 wakifix si naweza nikawa nishapoteza battery au kipi kitafanya battery iwe poa tena.
Hupati chini ya laki mbili hizo boss!!Hizo zipo boss kuna Redmi 6A, na baadae watatoa Redmi 7A.
Copyright [emoji767] 2017-2019 Mr. Mobile, Inc. All Rights Reserved.
Kumbe xiaomi nao wanatumia mkt chipset kwa baadhi za model zao!Hupati chini ya laki mbili hizo boss!!
Afu kitu Cha MTK hata kama ni helio mzuka unatoweka kabisa
The following is the order of the best Mediatek processor.Hupati chini ya laki mbili hizo boss!!
Afu kitu Cha MTK hata kama ni helio mzuka unatoweka kabisa
Ndio mkuu, zipo.Kumbe xiaomi nao wanatumia mkt chipset kwa baadhi za model zao!