SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,071
- 1,960
Jamaa kala kona!!!Tuwekee hapa hiyo tecno unayoona ya bei rahisi tulinganishe.
Kwa taarifa yako Techno mnauziwa bei ghali kuliko Xiaomi
Watu wa hivyo Mimi huwa sijishughulishi nao maana wanaishi kwa mazoea ni wabishi na hawashauriki