Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Bado nipo na Samsung yangu na nikiichoka hii j7 naenda level ya juu zaidi. Brand ileile "SAMSUNG"

Sent using Jamii Forums mobile app
We komaa hukohuko na huku upawezi kweli Mkuu teh
Maana kuna mdau aliniomba note 6 yangu Hazikupita Dk 2 akairudisha hahaha nikajua tu Full screen mode imemjambisha zile gestures.
 
Bado nipo na Samsung yangu na nikiichoka hii j7 naenda level ya juu zaidi. Brand ileile "SAMSUNG"

Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi tukupe ujaribu kutumia,... Utaachana na J7 yako siku hiyo hiyo [emoji4][emoji4]
IMG-20190131-WA0000.jpeg
IMG-20190131-WA0006.jpeg
 
Inabidi tukupe ujaribu kutumia,... Utaachana na J7 yako siku hiyo hiyo [emoji4][emoji4]
View attachment 1009357View attachment 1009358
Hahah hatari fireeee hahah samsung midrange ana tatizo lake la not registered in network na tatizo lake lingine la kupoteza Imei no. Huku haya mambo hakuna mueleweshe vizuri mkuu unatoa simu kwenye usafiri kama sare vile hata ukiibiwa ni ngumu mwizi kujiongeza kuijua Brand ya simu na kujifanya yake.
 
Hahah hatari fireeee hahah samsung midrange ana tatizo lake la not registered in network na tatizo lake lingine la kupoteza Imei no. Huku haya mambo hakuna mueleweshe vizuri mkuu unatoa simu kwenye usafiri kama sare vile hata ukiibiwa ni ngumu mwizi kujiongeza kuijua Brand ya simu na kujifanya yake.
Xiaomi Mi 8 out of the box, ndio nimejua hakuna haja ya kumiliki Samsung. Kwanza bei ni cheap uki compare na flagship nyingi zenye uwezo sawa na hii, pia camera yake hata Samsung galaxy S 9 anakalishwa.
61C2E34279907737.png
 
Huyu aliyeandika haya unaweza kuta ana li-Samsung au li-iPhone lake ambalo halina tofauti na fridge kwamba ukilitoa kwenye umeme nusu saa tu limezima au ukikutana naye ukam-search humkosi kabeba charge,power bank mbili kwamba moja ikiisha faster achomeke nyengine wakati hii iliyoisha ikichajiwa tena.

Tunaishi kwenye ulimwengu wa technologies vipi mtu unashindwa kutafuta kitu kipya,ladha mpya?kila siku kuna watu wanavumbua vitu vipya kuwazidi wale waliobuni hivi vinavyotumika sasa ila watu wameishia ku-kopy tu yale yale waliyofanya wengine kutafuta vyao hawataki.

Mwanzo nilikuwa na mawazo kama haya ila baada ya kujaribu sasa nimekuwa sichaji simu kwa lazima nachaji pale ninapoamua kiasi sikumbuki ni lini simu yangu imepiga alarm kuwa battery iko low,data sizimi muda wote ninaokuwa idle nacheza na simu pia nipo tofauti na wengine,camera nzuri etc.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Huyu aliyeandika haya unaweza kuta ana li-Samsung au li-iPhone lake ambalo halina tofauti na fridge kwamba ukilitoa kwenye umeme nusu saa tu limezima au ukikutana naye ukam-search humkosi kabeba charge,power bank mbili kwamba moja ikiisha faster achomeke nyengine wakati hii iliyoisha ikichajiwa tena.

Tunaishi kwenye ulimwengu wa technologies vipi mtu unashindwa kutafuta kitu kipya,ladha mpya?kila siku kuna watu wanavumbua vitu vipya kuwazidi wale waliobuni hivi vinavyotumika sasa ila watu wameishia ku-kopy tu yale yale waliyofanya wengine kutafuta vyao hawataki.

Mwanzo nilikuwa na mawazo kama haya ila baada ya kujaribu sasa nimekuwa sichaji simu kwa lazima nachaji pale ninapoamua kiasi sikumbuki ni lini simu yangu imepiga alarm kuwa battery iko low,data sizimi muda wote ninaokuwa idle nacheza na simu pia nipo tofauti na wengine,camera nzuri etc.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
battery inaweza kuchukua muda gani kwa matumizi ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
battery inaweza kuchukua muda gani kwa matumizi ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa matumizi ya kawaida yaani data on full time,ile unaingia mtandaoni unatoka unaingia unatoka unachat unasikiliza music unapokea simu pamoja na kufanya mawili matatu unayoyafanya kwenye simu matumizi yangu ni zaidi ya masaa 23.

Sijafuatilia vizuri kutokana na sijawahi kufuatilia sana coz kuna siku huwa sii-charge ikafika%100,mfano nimeitoa kwenye charge jana usiku wa saa 7 ikiwa 100% ila hadi muda huu iko na 52% it means naitumia hadi nitakapolala saa sita itakuwa na 40/35 asubuhi nikiamka naiweka chaji dk 45 itaingia hadi 85/93% naitumia mchana kutwa mpaka tano au sita usiku naiweka tena kwenye charge ijae full.

Nimekuwekea screenshot hapo chini ili kukazia hoja yangu hapo kwenye % za battery.
fde5820394c2a8b9ecad773ecbe657d8.jpg


Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom