majohe kona
JF-Expert Member
- May 23, 2018
- 257
- 263
Xiaom wanajua nini wanakifanya sijawahi juta tumia hii brand kuna watu wanataka tu exchange na simu zao lakini nikiangalia sper za simu zao hazifikii na yangu,
1.duall app [emoji3591]hii inanifanya niweke app mbili mbili
2.app lock [emoji3591] hii inanifanya niwekee security app zangu zote hata atakaeshika asifungue nisipotaka
3. First and second space hapa ndipo waliponiloga simu mbili kwa moja first ikiwa haishirikiani na second labda ram na rom, wale wa michepuko hii inawafaa sana mkeo hatajua kwenye second space
4. Data sio lazima uzime ukiwa hutumii data inajizima ukitumia inawaka.
5.update zote zinaondoa matatizo yaliyopo
Sent using Jamii Forums mobile app
1.duall app [emoji3591]hii inanifanya niweke app mbili mbili
2.app lock [emoji3591] hii inanifanya niwekee security app zangu zote hata atakaeshika asifungue nisipotaka
3. First and second space hapa ndipo waliponiloga simu mbili kwa moja first ikiwa haishirikiani na second labda ram na rom, wale wa michepuko hii inawafaa sana mkeo hatajua kwenye second space
4. Data sio lazima uzime ukiwa hutumii data inajizima ukitumia inawaka.
5.update zote zinaondoa matatizo yaliyopo
Sent using Jamii Forums mobile app