MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
wakuu hizi bei ni simu og au fake..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni model gani hizo
1. Wewe umepata utata wapi mkuu? Hiyo bei ya shipping au au bei hasa ya hiyo simu?
1. Wewe umepata utata wapi mkuu? Hiyo bei ya shipping au au bei hasa ya hiyo simu?
2. Hizo ni global rom, fanya kama unatafuta global version linganisha bei zake.
Ni model gani hizo
Hauamini kutokana na bei au aina ya simu
Nnachoamini Xiamon za AliExpress sio feki
Pia pendelea kusoma reviews za walionunua, lazima utajua mapungufu na ubora wa simu/seller
Cheki reviews hapohapo Kwenye hilo tangazo
Kama huna uzoefu Pendelea kununua simu kwa seller mwenye sold nyingi na reviews za kueleweka
Global version ndio hasa ina uhakika.kwahyo embu nieleweshe ni ipi ambayo naweza nikanunua na nikaitumia kwa hapa Tz
Sasa mkuu why usiende jukwaa la matangazo, na pia weka picha halisi ya hiyo simu, sio picha za ku GOOGLE.
Hapa ni sehemu ya mi products tu mkuu, unanikosea plz hamishia post yako kule kwenye iphones sio hapaSasa mkuu why usiende jukwaa la matangazo, na pia weka picha halisi ya hiyo simu, sio picha za ku GOOGLE.
Huu sasa uchochez!!
[emoji23]Huu sasa uchochez!!
Hatuna mpango na simu zenye masharti kama mganga wa kienyeji.
Hyo ni kasoro tu,hata kwa bidhaaa nying lipo.mm ninayo km hyo natumia mwez 6 ss haijanisumbua na huwa natumia 3 port at same time kuchajia simu.Essager nilichuku ile yenye port 3 moja ya fast charging ile port haikumaliza hata week ikafa haifanyi kazi kwasasa.
HongeraHyo ni kasoro tu,hata kwa bidhaaa nying lipo.mm ninayo km hyo natumia mwez 6 ss haijanisumbua na huwa natumia 3 port at same time kuchajia simu.
Dola 5 zitatumika utakaponunua bidhaa nyingineWiki 2 zilizopita Nilimtumia msg FANTACY kuwa nimepokea simu bila PROTECTOR, wakati nililipia na protector. Baada ya kuona hanipi majibu Nikafungua dispute... Leo kajibu msg yangu
Kwa majibu haya nifunge de
Dispute maana sijui hata hizo coupon zitanisaidia nini
--------------
Dear, sorry to hear the problem you met, we would like offer 5 dollars coupon to you as compensation,please close the dispute,do you agree?
Alice
Fantacy Customer Support
Hizo kuponi sio zinafanya kazi kwenye shop yao tu!!Dola 5 zitatumika utakaponunua bidhaa nyingine
Je atafanya hivyo m naona aendelee Tu na madai yake hawa wachin sio wa kuwachekea chekeaDola 5 zitatumika utakaponunua bidhaa nyingine
Kama zinafanya kazi kwenye store yaoHizo kuponi sio zinafanya kazi kwenye shop yao tu!!
Kama zinafanya kazi kwenye store yao
Hazitanisaidia kitu
Waulize imuhimu wa hiyo kuponi, validiation yake na matumizi.
Hakuna kucancel dispute we Komaa nao upate refund then unambandika nyota 1 akomage kuleta uhuni kwenye order za watu.Wiki 2 zilizopita Nilimtumia msg FANTACY kuwa nimepokea simu bila PROTECTOR, wakati nililipia na protector. Baada ya kuona hanipi majibu Nikafungua dispute... Leo kajibu msg yangu
Kwa majibu haya nifunge de
Dispute maana sijui hata hizo coupon zitanisaidia nini
--------------
Dear, sorry to hear the problem you met, we would like offer 5 dollars coupon to you as compensation,please close the dispute,do you agree?
Alice
Fantacy Customer Support