Kazetela
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,714
- 1,642
Wakuu,
Kwanza kabisa shukrani Sana Sana kwa mchango wenu wa mawazo na ushauri Hadi mkanifanikishia kuagiza simu mpyaaa kabisa Aina ya Xiaomi Mi 7 global version.
Mzigo nimeununua Kwa Mi Store kwa pesa ya kitanzania,Tsh.322000 tu na hakika ni simu mpya kabisa Tena laini mno katika matumizi.
Niliagiza hii simu tarehe 04/10/19 na kwakweli huyu Mi Store alituma ndani ya siku mbili tu baada ya kuagiza.
Simu ikiwa pamoja na makolokolo kibaaao niliyoyaagiza kupilitia kwa sellers kibaaao wa AliExpress,nimefanikiwa kuipokea hapa posta ya wilaya yetu leo alasiri Tena bila malipo ya Aina yoyote(Kodi) huku siku 19 zikitumika katika mchakato wa kuipata,halafu huyu mtoa huduma wa posta, kaniambia niagize Tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekana kaikubali michakato yangu.All in all mashine ni tamu Sana kuitumia na ndo niliyotumia kuandikia maneno haya.
Asanteni Sana wadau.
Asante Sana mleta huu Uzi Mwenyezi Mungu akubariki Sana.
Kwanza kabisa shukrani Sana Sana kwa mchango wenu wa mawazo na ushauri Hadi mkanifanikishia kuagiza simu mpyaaa kabisa Aina ya Xiaomi Mi 7 global version.
Mzigo nimeununua Kwa Mi Store kwa pesa ya kitanzania,Tsh.322000 tu na hakika ni simu mpya kabisa Tena laini mno katika matumizi.
Niliagiza hii simu tarehe 04/10/19 na kwakweli huyu Mi Store alituma ndani ya siku mbili tu baada ya kuagiza.
Simu ikiwa pamoja na makolokolo kibaaao niliyoyaagiza kupilitia kwa sellers kibaaao wa AliExpress,nimefanikiwa kuipokea hapa posta ya wilaya yetu leo alasiri Tena bila malipo ya Aina yoyote(Kodi) huku siku 19 zikitumika katika mchakato wa kuipata,halafu huyu mtoa huduma wa posta, kaniambia niagize Tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekana kaikubali michakato yangu.All in all mashine ni tamu Sana kuitumia na ndo niliyotumia kuandikia maneno haya.
Asanteni Sana wadau.
Asante Sana mleta huu Uzi Mwenyezi Mungu akubariki Sana.