Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wakuu habari, nimeamua rasmi ku upgrade kwenda simu ingine.
Hivyo basi naiuza xiaomi redmi 7 yangu yenye 32gb , rangi nyeusi kwa 280,000Tshs.
Kwa anayehitaji anicheki kupitia 0717135641 , simu ni used kwa miezi minne tu. hivyo unapata simu, nilikin cover, na chaja yake
Kwani mpya sh ngapi?
180 vp
 
Ana aminika anatuma Kwa wakati. Ila daah wajanja wamenipiga mzigo wangu. Ilikuwa Redmi note 7 6gb, 64gb. Posta wamesema package imefika ikiwa empty. Nilitumia AliExpress standard shipping. Daah imeuma kinyama aise.

Uzoefu wangu miezi Kama hii hasa mwisho wa mwaka mizigo Kama simu inaibiwa Sana tena Sana. Mwaka juzi pia nilipoteza simu 2 hivyo hivyo.

Je kuna mbinu yoyote ya kutumia ilimzigo usipotee.
Aiseee pole sana mkuu
P

Pole sana mkuu
Mimi nimeorder tangu mwez wa10 tar 10 hadi leo sioni update yoyote ile
 
Em nishaurini hapa wadau hamna updates kuna usalama kweli?
Screenshot_2019-11-11-21-48-15~2.jpeg
 
Unanipa wasiwasi sana, jana nime place order ya lg v30. Dah nawaza nimwambie wenda seller asiandike juu kuwa ni simu ili isitamaniwe, aandike hata Toy la Mp4 au Phone Spare parts
Ana aminika anatuma Kwa wakati. Ila daah wajanja wamenipiga mzigo wangu. Ilikuwa Redmi note 7 6gb, 64gb. Posta wamesema package imefika ikiwa empty. Nilitumia AliExpress standard shipping. Daah imeuma kinyama aise.

Uzoefu wangu miezi Kama hii hasa mwisho wa mwaka mizigo Kama simu inaibiwa Sana tena Sana. Mwaka juzi pia nilipoteza simu 2 hivyo hivyo.

Je kuna mbinu yoyote ya kutumia ilimzigo usipotee.
 
Wakuu habari, nimeamua rasmi ku upgrade kwenda simu ingine.
Hivyo basi naiuza xiaomi redmi 7 yangu yenye 32gb , rangi nyeusi kwa 280,000Tshs.
Kwa anayehitaji anicheki kupitia 0717135641 , simu ni used kwa miezi minne tu. hivyo unapata simu, nilikin cover, na chaja yake
Mkuu vipi camera yake hii
Je games like pubg zinacheza fresh
 
Relax nimeagiza mizigo ya namna hiyo mingi tu na yote nimeipata tena kuna mmoja muda ulifika nikafungua dispute seller akaniibox niondoe dispute atatuma tena matokeo yake nimepata mzigo mara 2 ule wa mwanzo nao ulifika
Ngoja niwe na subira tu mkuu
 
Mara Mia Ufanye hivyo. Wizi usharudi aise...
Unanipa wasiwasi sana, jana nime place order ya lg v30. Dah nawaza nimwambie wenda seller asiandike juu kuwa ni simu ili isitamaniwe, aandike hata Toy la Mp4 au Phone Spare parts
 
Hapo inadepend na seller. Pia kutokana na mzigo na shipment unayotumia.
Relax nimeagiza mizigo ya namna hiyo mingi tu na yote nimeipata tena kuna mmoja muda ulifika nikafungua dispute seller akaniibox niondoe dispute atatuma tena matokeo yake nimepata mzigo mara 2 ule wa mwanzo nao ulifika
Huo ni mzigo Wangu lakini nimewacheki posta wamesema package missed.
Screenshot_2019-11-12-13-39-46-963_com.alibaba.aliexpresshd.jpeg
 
Mkuu kwa sasa purchase zisizozidi laki 1 nitanunua kupitia Voda Mastercard
Zaidi ya hapo bora nitumie bank maana wamenifanyia vibaya sana hiki kipindi
Mimi Voda nilifanya muamala wa kiasi cha sh 472k kwa Mi France, baada ya miezi miwili na nusu nikaopen dispute na ndani ya siku tatu tu Mpesa ikasoma chap
 
Back
Top Bottom