Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

BF
IMG_20191201_020708.jpeg
 
Wakuu Nimejilipua na UMIDIGI POWER 64Gb ROM 4GB RAM

Ni baada ya kumuagiza bosi wangu aliyekuwa Marekani aniletee UMIDIGI A5 Pro naye kuniletea Hii Power.

Bado hajanipa Bei So tuombeane ibadilike iwe zawadi!
Boss wako ni wa jinsia gani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Nataka nihamie kwenye ulimwengu wa xiaomi
Huvi kati ya xiaomi mi 8 na redmi note 7 pro ipi kali
Kuanzia performance to camera
 
Mi 8 ni flagship na redmi note 7 pro ni midrange...so tegemea performance ya Mi 8 kuwa bora zaidi ya hyo Note 7
Nataka nihamie kwenye ulimwengu wa xiaomi
Huvi kati ya xiaomi mi 8 na redmi note 7 pro ipi kali
Kuanzia performance to camera
 
Ikiwa AMOLED display na In Display Fingerprint sensor ni vitu unavyopenda chukua Mi A3 lakini ujue resolution yake ni ndogo 720p wakati Note 8 ina 1080p.
Mi A3 haina Macro lens lakini Note 8 inayo. Mi A3 ina selfie kamera bora zaidi.
Ikiwa wewe ni mpenzi wa screen ndogo basi Mi A3 ndio simu ya kuchukua. Ikiwa wewe ni mpenzi wa Stock Android chukua Mi A3 lakini ujue utakosa utamu wa features za MIUI[emoji16]

Kwa mimi, Nadhani ningechukua Redmi Note 8 kuliko Mi A3 [emoji6]
Mkuu nimeshaorder note 8
Asante kwa maoni yako
 
Wakuu nina redmi note 3 yangu nataka niifufue.inakua kama ina mawenge flani hivi kioo chake na touch pia inazingua pemben mwa kioo.

Sijui kuagiza online,nani tuelewane aniagizie online touch na betri.nmeona vinauzwa bei za $3-9.
Ila nataka vifike haraka zaidi,siwez subiria wiki nyingi ntakosa mambo yakuhide sms na second space shemeji/wifi yenu asije nidaka bure!
 
Wakuu nina redmi note 3 yangu nataka niifufue.inakua kama ina mawenge flani hivi kioo chake na touch pia inazingua pemben mwa kioo.

Sijui kuagiza online,nani tuelewane aniagizie online touch na betri.nmeona vinauzwa bei za $3-9.
Ila nataka vifike haraka zaidi,siwez subiria wiki nyingi ntakosa mambo yakuhide sms na second space shemeji asije nidaka bure!
Mcheki Mr mobile huyo hapo akufanyie manuva
 
Pole sana mkuu nimetumia Sana kwa hayo maelezo dah hvi kweli inaingiaje akilini hii kitu, kwanini posta hawana Miundombinu ya usafirishaji?
Kwanini Sasa dah pole mno mkuu.
Posta wana risk sana mizigo yetu. Sijaamini kabisa leo kujua kuwa huku wilayani mizigo inatumwa kwenye costa na basi za abiria toka posta za mkoa[emoji17][emoji17]

Jana tracking ikanionesha mzigo umetumwa kuja wilayani, leo nafika naambiwa haujafika. Nikaanza kudadisi kulikoni. Naambiwa konda aliekabidhiwa kajisahau, walifuata asubuhi konda karudi nao mjini, mpk akija jioni tena ndio watapata mizigo.

Roho imeniuma sana yani. Simu yangu inazunguka na makondakta kwenye vibasi? This country
 
Back
Top Bottom