Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
- #5,001
ni jadi yetuKweli huu uzi uko konk sana kwa xiaomi users aise.. Mko na ushirikiano wa ajabu mpaka nmependa [emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni jadi yetuKweli huu uzi uko konk sana kwa xiaomi users aise.. Mko na ushirikiano wa ajabu mpaka nmependa [emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu fuata hizi hatuaBose ninaidownload hiyo app but font ya rosemary haipo nakuta rosewood na ingine hebu nielekeze ingia izungushie alama itupie hapa nimeipenda kweli kweli
Sijajua ni kwanini hii mkuu..! Me nlilipia 2.3k hapo hapo Posta, Nyamagana...
Asante kiongozi ndio nimeipata hapa na tuMkuu fuata hizi hatua
1. Angalia picha hizi vizuri. Gusa kwenye red box
View attachment 1281762
2. Gusa kwenye red box
View attachment 1281764
3. Then nenda hadi namba 63
View attachment 1281766
Changamoto ninayoipata mimi, baada ya ku Apply. Endapo umeset wallpapers baada ya muda themes inaji restart kitendo ambacho hufanya wallpapers ulizo set zifutike kwenye screen.
Ukiona RDP jiandae kukutana na rungu la TRA!Niliagiza Xiaomi note 8, sasa leo nimepokea sms kutoka posta inayoanza na RDP, kuna mdau alisema kama sms itaanza na RDP basi utatakiwa kulipa kodi, sasa wakuu naomba kwa yoyote anayejua makadirio ya kodi ya simu aniambie tafadhari.
Asante mkuu mi nimefanikishaUsikwame boss. Hiyo hapo kwenye namba 30.View attachment 1281669
Niliagiza Xiaomi note 8, sasa leo nimepokea sms kutoka posta inayoanza na RDP, kuna mdau alisema kama sms itaanza na RDP basi utatakiwa kulipa kodi, sasa wakuu naomba kwa yoyote anayejua makadirio ya kodi ya simu aniambie tafadhari.
Daaah! Noma sana, nikifikiriaga hili la kodi huwa naishiwa nguvu kabisa kuagiza simu...Ukiona RDP jiandae kukutana na rungu la TRA!
Makato ni 21% ya gharama ya mzigo
Niliagiza Xiaomi note 8, sasa leo nimepokea sms kutoka posta inayoanza na RDP, kuna mdau alisema kama sms itaanza na RDP basi utatakiwa kulipa kodi, sasa wakuu naomba kwa yoyote anayejua makadirio ya kodi ya simu aniambie tafadhari.
DSMPosta wapi huko mkuu??
ndiyo mkuu inasoma hivyo.Tracking number yako inasoma "held by customs?"
Uchochezi huu mdogo wanguAsante mkuu mi nimefanikishaView attachment 1282006
ndiyo mkuu inasoma hivyo.
Ila hawa Posta wanazingua sana,Nina mzigo wangu tracking number inasoma mzigo umefika Tz lakini nimeenda wao waniambia mzigo bado haujafika. Sijui shida niniTracking number yako inasoma "held by customs?"
Ila hawa Posta wanazingua sana,Nina mzigo wangu tracking number inasoma mzigo umefika Tz lakini nimeenda wao waniambia mzigo bado haujafika. Sijui shida nini
Niliagiza Xiaomi note 8, sasa leo nimepokea sms kutoka posta inayoanza na RDP, kuna mdau alisema kama sms itaanza na RDP basi utatakiwa kulipa kodi, sasa wakuu naomba kwa yoyote anayejua makadirio ya kodi ya simu aniambie tafadhari.
Nimemtext bado hajajibuSeller anasemaje
Mkuu ukienda usisahau kuleta mrejesho,
😂 imenitoka elfu 88 na centi kadhaa, kwa simu ya laki na 4We relax mkuu na Jiandae kuchangia mapato ya nchi