YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Hawana ofic na wala hawatakiw kuwa na office wao ni plattform ya kukutanisha seller na buyer kwan hujawah kununua kitu online? Kutoka abroad?.. Maana swali lako linaonesha huna uzoefu na hizi biashara za online
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawatakiwi???
Mkuu unaweza kueleza kwa nini kikuu wana office?
Sent from my iPhone using JamiiForums