Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Xiomi, Note 11 pro 5G, Xiomi Note 13pro 5G, Camera na speed zipo vizuri, nachokubali zaidi ni hii second space, kwamba AI ikigundua simu yangu haijashikwa na mimi mwenyewe, ama itifaki haijazingatiwa, basi moja kwa moja itakupeleka kwenye second space, huko hutoambua chochote kuhusu mimi, utakuwa umechochola mazima.
Mkuu natarajia kuhama kutoka infinix nije huko
ktk ulimwengu wa xiaomi hasa hiyo redmi note 13 pro bila ya shaka nitaenjoy

Nitakuja kuomba na ma skills-hapa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Imetoka nyengine mkuu Kureplace hio inaitwa Turbo 3,

Pia hizi simu kila kitu ni top notch kwa bei husika, so hata uchukue version ndogo kabisa itakua na ram 12GB na Storage 256GB na version kubwa inaenda ram hadi 16GB na Storage 1TB.

Kwa masoko ya China Inatembea kama 580K sasa hivi mpaka kuleta hapa 600-700K hivi.
Asante mkuu chief
 
Chuma Mpya Redmi Note 14 Series imeshatoka...

Chief Mkwawa tunakuomba ugusie kidogo hii simu
Redmi Note 14 Series launched in China: Know prices, specifications https://www.livemint.com/technology...prices-specifications-and-more-11727359324073
Bado tusubirie reviews, ila spec za mwanzo

- processor mara hii wamejitahidi sana for the first time since redmi note 10 series wameweka processor za maana ambazo ni competitive, 14 pro/pro+ inakuja na brand new snapdragon 7s gen 3 ambayo ni soc nzuri na 14 inakuja na dimensity 7000 series badala ya 6000.

-battery kubwa, bei nzuri (atleast ya china) fast charging nzuri.

Mambo mengine kama camera, ukaaji chaji, Display quality ni mpaka reviews.
 
Bado tusubirie reviews, ila spec za mwanzo

- processor mara hii wamejitahidi sana for the first time since redmi note 10 series wameweka processor za maana ambazo ni competitive, 14 pro/pro+ inakuja na brand new snapdragon 7s gen 3 ambayo ni soc nzuri na 14 inakuja na dimensity 7000 series badala ya 6000.

-battery kubwa, bei nzuri (atleast ya china) fast charging nzuri.

Mambo mengine kama camera, ukaaji chaji, Display quality ni mpaka reviews.
Bdo reviews mkuu??
 
Back
Top Bottom