Walemavu washikiniza Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu mkataba wa bandari

Walemavu washikiniza Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu mkataba wa bandari

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
Walemavu wameshinikiza AG Feleshi ajiuzulu kumpa nafasi Rais ya kuteua AG mwingine


---

Walemavu washinikiza Attorney General ajiuzuru katika kufafanua hoja hiyo wamesema

Kimsingi nikiliangalia hili suala la Bandari lina udhaifu kwenye utendaji yaani nasema Watendaji wenzangu, makatibu huko, Ma Attorney General wana matatizo.

Sasa Jukwaa hili linapendekeza kwa Mama kwa sababu muhusika wa mikataba ni Attorney General wa nchi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwa vile ameshindwa kujitetea kwenye suala hili la mkataba.

Mkataba unaonekana kweli ni mbovu na Mama unampa shida mkataba huu. Sisi kama watu wenye ulemavu Attorney General achukuliwe hatua. Kwa sababu kukaa kimya kwake ni kuruhusu rais kuendelea kuchafuliwa.

Tunashauri Attorney General ajiuzulu mwenyewe au aachishwe kazi apewe mtu anayeweza. Tuna rekodi mbovu za Attorney General hatutaki kuzisema hadharani, lakini sisi tunamwambia Mama Attorney General ameshindwa kazi yake tumpe mtu mwingine ile kazi ili atutengenezee mikataba iliyo mizuri.
 
wasikilize kwa makini unaweza kuelewa hoja yao
Samia aliwaambia wabunge wa CCM waende bungeni kupitisha ule mkataba, huku wale walioonekana hawako tayari wakiambiwa wasiende, na AG akiwa miongoni mwao, sasa hapo unaanza vipi kumlaumu AG?

Samia kwa kumuweka AG pembeni akaenda kusaini ule mkataba mbovu hakujua amefanya kosa? na kama anaona kweli AG alikosea, kwanini kamuacha ofisini mpaka leo?

Halafu hao walemavu, ambao mimi nawaona ulemavu wao umefikia kwenye ubongo, iweje wamgeuze AG ndie yuko juu ya Samia? unapomtaka AG apishe ofisi ili ateuliwe mwingine, maana yake alijiweka pale mwenyewe?

Hao walemavu siwaamini, kama siku hizi wapo machawa wasio walemavu wa viungo, itakuwa kwa hao walemavu wanaojitafutia ugali wao na familia zao..!!
 
Ofisi ya Rais nchi hii inaubabe mwingi ofisi ya mwanasheria haihusiki na hicho kinyesi Cha bandari, yawezekana hata Mkurugenzi wa TIS alopita ndugu Diwani Athumani bila shaka alikataa hayo mavi ya wazanzibar ndiomana wakamtoa
 

Attachments

  • E248BF3B-C94F-46D4-96E3-3901FB30FE9B.jpeg
    E248BF3B-C94F-46D4-96E3-3901FB30FE9B.jpeg
    47.7 KB · Views: 3
Hao nao watakuwa walemavu mpaka wa akili, wachunguzwe vizuri.

Samia ndie mama wa hili tatizo, asifichwe wala kulindwa kwa njia yoyote.
Samia hajui mambo ya sheri na sidhani kama anajua kiingereza cha kisheria kuusoma mwenyewe kitandani ametulia akauelewa..... Ila hapa alipofikia angeliweza kuwaita wanaomdanganya akasema jamani, mbona naona kama niko uchi? hawa wote wanasema mfalme yuko uchi nyinyi mnasema nimevaa nguo....mnanidanganya
 
Ofisi ya Rais nchi hii inaubabe mwingi ofisi ya mwanasheria haihusiki na hicho kinyesi Cha bandari, yawezekana hata Mkurugenzi wa TIS alopita ndugu Diwani Athumani bila shaka alikataa hayo mavi ya wazanzibar ndiomana wakamtoa
Hauko mbali sana na ukweli!! Chief secretary akaondolewa kwa Sababu za kishikaji na Diwani Athumani akawaambia isiwe taabu kaeni na uharo wenu mimi nakwenda nyumbani!! Sasa wanahaha hawajui pa kushikia wanabakia kuwasaafirisha familia zao kuhamia uarabuni!!
 
Sio mwansheria tu kwanza hunge livunjwe halafu Baraza livunjwe na raisi pia wala asijifikirie ajivunje nae
 
Walemavu wameshinikiza AG Feleshi ajiuzulu kumpa nafasi Rais ya kuteua AG mwingine
View attachment 2697980

---

Walemavu washinikiza Atony General wa Bandari ajiuzuru katika kufafanua hoja hiyo wamesema

Kimsingi nikiliangalia hili suala la Bandari lina udhaifu kwenye utendaji yaani nasema Watendaji wenzangu, makatibu huko, Ma Atony General wana matatizo.

Sasa Jukwaa hili linapendekeza kwa Mama kwa sababu muhusika wa mikataba ni Atony General wa nchi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwa vile ameshindwa kujitetea kwenye suala hili la mkataba.

Mkataba unaonekana kweli ni mbovu na Mama unampa shida mkataba huu. Sisi kama watu wenye ulemavu Atony General achukuliwe hatua. Kwa sababu kukaa kimya kwake ni kuruhusu rais kuendelea kuchafuliwa.

Tunashauri Atony General ajiuzulu mwenyewe au aachishwe kazi apewe mtu anayeweza. Tuna rekodi mbovu za Atony General hatutaki kuzisema hadharani, lakini sisi tunamwambia Mama Atony General ameshindwa kazi yake tumpe mtu mwingine ile kazi ili atutengenezee mikataba iliyo mizuri.
Kwa nini watanzania tunakuwa wagumu kusema ukweli? Hivi unapata ugumu gani kusema kwamba "nani kama mama" tunakupenda lakini kwa hili umetukosea, umetuaibisha, umetuuza na umetudhalilisha tunaomba utupishe tuchague mwingine?
 
Hao walemavu hawana uwezo wa kutoa hoja kama hizo, wametumwa na watu wazito huenda AG anatafutwa kuangushiwa jumba bovu...

Muda utaongea.
 
Back
Top Bottom