Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kuna Kila dalili ya UVCCM kuibuka na tamko la kulaumu "washauri" kuwa wamempotosha "Mama" hahahaha mark my word
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofisi ya Rais nchi hii inaubabe mwingi ofisi ya mwanasheria haihusiki na hicho kinyesi Cha bandari, yawezekana hata Mkurugenzi wa TIS alopita ndugu Diwani Athumani bila shaka alikataa hayo mavi ya wazanzibar ndiomana wakamtoa
Walemavu wameshinikiza AG Feleshi ajiuzulu kumpa nafasi Rais ya kuteua AG mwingine
View attachment 2697980
---
Walemavu washinikiza Atony General wa Bandari ajiuzuru katika kufafanua hoja hiyo wamesema
Kimsingi nikiliangalia hili suala la Bandari lina udhaifu kwenye utendaji yaani nasema Watendaji wenzangu, makatibu huko, Ma Atony General wana matatizo.
Sasa Jukwaa hili linapendekeza kwa Mama kwa sababu muhusika wa mikataba ni Atony General wa nchi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwa vile ameshindwa kujitetea kwenye suala hili la mkataba.
Mkataba unaonekana kweli ni mbovu na Mama unampa shida mkataba huu. Sisi kama watu wenye ulemavu Atony General achukuliwe hatua. Kwa sababu kukaa kimya kwake ni kuruhusu rais kuendelea kuchafuliwa.
Tunashauri Atony General ajiuzulu mwenyewe au aachishwe kazi apewe mtu anayeweza. Tuna rekodi mbovu za Atony General hatutaki kuzisema hadharani, lakini sisi tunamwambia Mama Atony General ameshindwa kazi yake tumpe mtu mwingine ile kazi ili atutengenezee mikataba iliyo mizuri.
Kuna Kila dalili ya UVCCM kuibuka na tamko la kulaumu "washauri" kuwa wamempotosha "Mama" hahahaha mark my word
Mbona inasemekana mtoto wa huyo mama yenu ndiye kinara wa haya yote?Walemavu wameshinikiza AG Feleshi ajiuzulu kumpa nafasi Rais ya kuteua AG mwingine
View attachment 2697980
---
Walemavu washinikiza Atony General wa Bandari ajiuzuru katika kufafanua hoja hiyo wamesema
Kimsingi nikiliangalia hili suala la Bandari lina udhaifu kwenye utendaji yaani nasema Watendaji wenzangu, makatibu huko, Ma Atony General wana matatizo.
Sasa Jukwaa hili linapendekeza kwa Mama kwa sababu muhusika wa mikataba ni Atony General wa nchi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwa vile ameshindwa kujitetea kwenye suala hili la mkataba.
Mkataba unaonekana kweli ni mbovu na Mama unampa shida mkataba huu. Sisi kama watu wenye ulemavu Atony General achukuliwe hatua. Kwa sababu kukaa kimya kwake ni kuruhusu rais kuendelea kuchafuliwa.
Tunashauri Atony General ajiuzulu mwenyewe au aachishwe kazi apewe mtu anayeweza. Tuna rekodi mbovu za Atony General hatutaki kuzisema hadharani, lakini sisi tunamwambia Mama Atony General ameshindwa kazi yake tumpe mtu mwingine ile kazi ili atutengenezee mikataba iliyo mizuri.
Hapo acha Samia abaki tukamkatae kwenye uchaguzi au Bunge likapoge kura yakutokuwa na iman nae ila kimsingi wote walitakiwa kupitia mkataba na kumshauri Rais watoke watupishe na Waziri mkuu wake wote watoke.Hao nao watakuwa walemavu mpaka wa akili, wachunguzwe vizuri.
Samia ndie mama wa hili tatizo, asifichwe wala kulindwa kwa njia yoyote.
Dulllah, siyo?Mbona inasemekana mtoto wa huyo mama yenu ndiye kinara wa haya yote?
Huo ndio ukweli,ni swala la mda tu, mambo yatakuwa hadharaniDulllah, siyo?