Walemavu washikiniza Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu mkataba wa bandari

Kuna Kila dalili ya UVCCM kuibuka na tamko la kulaumu "washauri" kuwa wamempotosha "Mama" hahahaha mark my word
 
Ofisi ya Rais nchi hii inaubabe mwingi ofisi ya mwanasheria haihusiki na hicho kinyesi Cha bandari, yawezekana hata Mkurugenzi wa TIS alopita ndugu Diwani Athumani bila shaka alikataa hayo mavi ya wazanzibar ndiomana wakamtoa



Aisee!

Kisha huyo alowekwa Kwa sasa ni nani ?

Anaitwaje?

Ametokea wapi?

Maana kama Diwani tunajua alitokea jeshi la polisi kabla ya kuwa DG.
 



Move ya kumtoa kafara imeiva, mipango hii madhubuti...
 
Kuna Kila dalili ya UVCCM kuibuka na tamko la kulaumu "washauri" kuwa wamempotosha "Mama" hahahaha mark my word


Ha ha ha! Hapa anatolewa mtu kafara hakuna masaa 24
 
Mbona inasemekana mtoto wa huyo mama yenu ndiye kinara wa haya yote?
 
Hao nao watakuwa walemavu mpaka wa akili, wachunguzwe vizuri.

Samia ndie mama wa hili tatizo, asifichwe wala kulindwa kwa njia yoyote.
Hapo acha Samia abaki tukamkatae kwenye uchaguzi au Bunge likapoge kura yakutokuwa na iman nae ila kimsingi wote walitakiwa kupitia mkataba na kumshauri Rais watoke watupishe na Waziri mkuu wake wote watoke.
 
Hili la bandari watanzania wamekua nalo serious sana tofauti na walivyotarajia
 
Pongezi kubwa sana kwenu kwa kuona haya mapungufu kwenye mkataba, sio kama wale vijana wa ccm wanaotumia matumbo na makalio kufikiri, ni kweli kabisa huyu mwanashelia mkuu kilaza lazima aondoke baada ya hapo waziri mbalawa, spika wa bunge na wabunge wote waondoke akiwepo waziri mkuu na mwisho kabisa na mama aachie ngazi
 
Nimetoka kwa mshua jioni hii na uzee wake wote nimekuta anaangalia citizen tv ya Kenya

Nikamsikia analalamika kuhusu bandari kuuzwa
Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…