Walevi awakosi sababu ya kulewa

Walevi awakosi sababu ya kulewa

Mwisho wa siku wanaharibu figo zao
kula maisha hivyo viungo umepewa bure hujatoa hata senti tano.

Na hakuna sehemu umeambiwa uvirudishe mavumbini vikiwa vizima🤗

Acheni kutisha watu,IMEZENI WATU KUFANYA VITU KWA KIASI NA SIO KUTISHANA.

📌WEWE NA FIGO ZAKO NZIMA UTAKUFA UTAOZA HUNA USPECIAL WOWOTE.
 
Hii ilikuwa weekend
View attachment 3226369
Moya moto moya baridi 😃
Hii ndio bia yangu
IMG-20250205-WA0069.jpg
 
Yaani huu mwaka nimetfakari NI lini sijanywa nkakosa jibu...natumia kiasi gani NI zaidi ya bajeti ya chakula Cha familia...natamani sana kupumzika au kuacha kabisa...zaidi ya miaka 15 nakunywa kila siku...mf kila siku unywe 2000*360=700;000 kwa mwaka *15 =10300000 na.kwenye acc unaikosa hio hela hio Bei ni kwa mnya gongo au pombe ya Bei rahisi kabisa na havuti hata sigara...yaani hilis himo ukiingia kutoka sio rahisi
 
Back
Top Bottom