Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Wakati unachanganya unaiweka humo. Inafaa kabisa!Hizi unaweza kupikia wa nazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati unachanganya unaiweka humo. Inafaa kabisa!Hizi unaweza kupikia wa nazi?
Pressure cooker unaweza pika mpaka ugali, mihogo, dagaa nk nkNikukumbushe tu. Utatumia gharama kubwa ili ule chakula kisicho salama kwa afia yako. . WANGA ulio kwenye wali ni sumu. Badili muelekeo, achana na hilo jiko ilo wali usikunogee sana hamia kwenye vyakula mizizi na dona. Utanishukuru uzeeni.
option gani hiyo Mkuu ya kupika ugali kwa pressure cooker? please assist.Leo mchana nimekula ugali wa dona uliopikwa kwenye pressure cooker.
Kuna option una activate unakua na uwezo wa kupika hata ugali au kukaanga nyanya.
Tena unakauka na kuchambuka kuliko wa mkaa. Maji yakishapotea we punguza moto ubaki kidogo kiasi kwamba ukiupuliza tu unazima. Halafu uache hata nusu saa. Ila hakikishe uwe umeukaanga kabla ya kuweka maji.Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
Akalishwe hamila kwa mama ntilie baada ya saa njaa kama yoteUnahangaikia nini?Kale kwa mama-ntilie.Kwanza gesi bei yake ipo juu.Hilo jiko uwe inachemshia maji ya kuoga tu.
Tumefikia huku duhhh haya bwana ngoja nivute popconeWana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
Tutoane ushamba hapa inapika na ugali 😳😳🙄🙄, vipi pressure cooker ya kampuni za Kenwood na dessini si nzuri? Je hiyo von bei yake ngapi?Pressure cooker inapika kuanzia birian, wali, ugali mpaka makande, supu na mboga za majani! Rice cooker sidhan kama inaweza fanya hivyo
Kama ni bachela ajikusanye anunue pressure cooker walau ya Von.
Tutoane ushamba hapo mtaalamu wangu, option gani hiyo?Leo mchana nimekula ugali wa dona uliopikwa kwenye pressure cooker.
Kuna option una activate unakua na uwezo wa kupika hata ugali au kukaanga nyanya.