Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,806
Mahitaji: Mayai, wali, sukari.
Jinsi ya kuandaa:
Chemsha wali wako kama kawaida au hata kama unakiporo kitafaa,
Tia wali wako kwenye bakuli kubwa ambalo utachanganyia,
Kisha piga mayai wa 2_3 au upendavyo kutokana na kias cha wali unaotaka kukaanga.
Kisa tia sukari 2Table spoon.
Changanya na mchanganyiko wako uko tayari kwa kupikwa.
Ziada: unaweza kula kwa breakfast au upendavyo
Jinsi ya kuandaa:
Chemsha wali wako kama kawaida au hata kama unakiporo kitafaa,
Tia wali wako kwenye bakuli kubwa ambalo utachanganyia,
Kisha piga mayai wa 2_3 au upendavyo kutokana na kias cha wali unaotaka kukaanga.
Kisa tia sukari 2Table spoon.
Changanya na mchanganyiko wako uko tayari kwa kupikwa.
Ziada: unaweza kula kwa breakfast au upendavyo