Wali sekondari yageuka shule ya mateso kwa wanafunzi

Wali sekondari yageuka shule ya mateso kwa wanafunzi

Ndagullachrles

Senior Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
153
Reaction score
161
"Tunaomba mtusaidie kunusuru maisha ya watoto wetu hii shule ni kama imegeuzwa Kambi ya mateso kwa watoto wetu".

Hii ni kauli ya mmoja wa wazazi wenye watoto katika shule ya sekondari Wali iliyopo wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Shule hiyo inamilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi (CCM) ambayo licha ya kufanya vizuri kwenye elimu na kuwa na ufaulu mzuri,inalalamikiwa na wazazi kuwa imekuwa ikitoa adhabu Kali kwa wanafunzi na baadhi ya wazazi wamelazimika kuwaondoa watoto wao kwenye shule hiyo .

Shutuma nyingi zimeelekezwa kwa uongozi wa shule hiyo iliyopo chini ya mkuu wake wa shule Steven Luhende kwamba imekuwa ikitoa adhabu kali kwa wanafunzi ambazo zinakiuka hata miongozo na walaka wa elimu unaotoa maelekezo ya namna ya kutoa adhabu kwa wanafunzi .

Baadhi ya wazazi wanataka ofisi ya Ofisa elimu wa wilaya ya Hai ,Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Hia kuiangazia shule hiyo kwani ikiachwa ikaendelea na mfumo wake wa utoaji adhabu Kali ipo siku yatatokea ya kutokea .

Wakati hali ikiwa hivyo,Katika tukio la hivi karibuni kijana mmoja ambaye amemaliza kidato cha Sita shuleni hapo hivi karibuni alijikuta akinyimwa cheti chake baada ya kuingia eneo la shule hiyo akidaiwa kuwa na nywele ndefu .

Kijana hiyo alisotq kwa zaidi ya masaa Saba na licha ya jitihada za ndugu zake kutaka apewe cheti ili awahi chuoni jitihada hizo hazikuzaa matunda.

Hatua hiyo ililazimu uongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi(ccm)mkoa wa Kilimanjaro kuingilia kati na kuagiza kijana huyo apewe cheti chake.

Hata hivyo kibao kikageuka tena kwa Kijana huyo kuzushiwa jambo kwamba wakati anamaliza shule alikuwa anadaiwa pesa sh,50,0000 ambazo uongozi wa shule hiyo unadai zinatokana na uharibifu wa vitabu vitano.

Kutokana na umhimu wa cheti hicho kijana huyo alilazimika kufanya mawasiliano na ndugu zake ili waweze kumlipia pesa hizo na baada ya malipo kufanyiwa hatimaye akapewa cheti chake lakini hakupewa stakabadhi ya malipo na kuhoji kwa nini asipewe.

"Hebu muulize Mkuu wa shule kama alikuwa anadaiwa waliwezaje kumpa Results Slip na Leaving Certificate,Leo wanakuja na hadithi za kudaiwa elfu hamsini ,huu ni wizi na kwa nini wamemnyima risiti ambayo ni Hali yake kupewa?,anahoji mmoja wa watu wa karibu na kijana huyo.

Kazi kwenu mamlaka za elimu ,wazazi wanalalamika mateso ya watoto wao ,Sasa chukueni hatua.
 
wali waliwa halafu hyo ni pesa ngapi mkuu sijawahi kuuna yaan tsh 50,0000?
 
Tulia lete taarifa Kwa mlolongo unaeleweka kiufasaha.Vinginevyo Acha uzushi
 
"Tunaomba mtusaidie kunusuru maisha ya watoto wetu hii shule ni kama imegeuzwa Kambi ya mateso kwa watoto wetu".

Hii ni kauli ya mmoja wa wazazi wenye watoto katika shule ya sekondari Wali iliyopo wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Shule hiyo inamilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi (CCM) ambayo licha ya kufanya vizuri kwenye elimu na kuwa na ufaulu mzuri,inalalamikiwa na wazazi kuwa imekuwa ikitoa adhabu Kali kwa wanafunzi na baadhi ya wazazi wamelazimika kuwaondoa watoto wao kwenye shule hiyo .

Shutuma nyingi zimeelekezwa kwa uongozi wa shule hiyo iliyopo chini ya mkuu wake wa shule Steven Luhende kwamba imekuwa ikitoa adhabu kali kwa wanafunzi ambazo zinakiuka hata miongozo na walaka wa elimu unaotoa maelekezo ya namna ya kutoa adhabu kwa wanafunzi .

Baadhi ya wazazi wanataka ofisi ya Ofisa elimu wa wilaya ya Hai ,Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Hia kuiangazia shule hiyo kwani ikiachwa ikaendelea na mfumo wake wa utoaji adhabu Kali ipo siku yatatokea ya kutokea .

Wakati hali ikiwa hivyo,Katika tukio la hivi karibuni kijana mmoja ambaye amemaliza kidato cha Sita shuleni hapo hivi karibuni alijikuta akinyimwa cheti chake baada ya kuingia eneo la shule hiyo akidaiwa kuwa na nywele ndefu .

Kijana hiyo alisotq kwa zaidi ya masaa Saba na licha ya jitihada za ndugu zake kutaka apewe cheti ili awahi chuoni jitihada hizo hazikuzaa matunda.

Hatua hiyo ililazimu uongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi(ccm)mkoa wa Kilimanjaro kuingilia kati na kuagiza kijana huyo apewe cheti chake.

Hata hivyo kibao kikageuka tena kwa Kijana huyo kuzushiwa jambo kwamba wakati anamaliza shule alikuwa anadaiwa pesa sh,50,0000 ambazo uongozi wa shule hiyo unadai zinatokana na uharibifu wa vitabu vitano.

Kutokana na umhimu wa cheti hicho kijana huyo alilazimika kufanya mawasiliano na ndugu zake ili waweze kumlipia pesa hizo na baada ya malipo kufanyiwa hatimaye akapewa cheti chake lakini hakupewa stakabadhi ya malipo na kuhoji kwa nini asipewe.

"Hebu muulize Mkuu wa shule kama alikuwa anadaiwa waliwezaje kumpa Results Slip na Leaving Certificate,Leo wanakuja na hadithi za kudaiwa elfu hamsini ,huu ni wizi na kwa nini wamemnyima risiti ambayo ni Hali yake kupewa?,anahoji mmoja wa watu wa karibu na kijana huyo.

Kazi kwenu mamlaka za elimu ,wazazi wanalalamika mateso ya watoto wao ,Sasa chukueni hatua.
Mheshimiwa; Kwa nini umezunguuuuka na hadithi ndeeefu kumbe Huyo unayemwita "mwanao" na "Tzs elfu hamsini" ndio lengo la malalamiko na unatoa ushawishi kwa mamlaka zichukue hatua za ku-Uwajibisha uongozi wa shule. Je; Huyo mwanao ulikuwa unapokea Taarifa za maendeleo yake kutoka shuleni hapo??? na kweli ulikuwa unachukua hatua stahiki?
Mimi niwaombe wazazi wenzangu TUSIPENDE SANA KUWATETEA WATOTO WETU - Tukumbuke hata hao waalimu ni WAZAZI pia. Adhabu hazitolewi just like that bila kuwepo na kosa lililothibitika kwamba limetendwa na Utaratibu umezingatiwa e.g. kama hairuhusiwi mwanafunzi kuingia hapo shuleni na RASTA; huyo wa kwako ni nani hata apuuzie agizo hilo? Hiyo ni Dharau kubwa - eti mtanifanya nini si nimemaliza shule. Stupid boy.
Tukumbuke: Mtoto asiyelelewa na wazazi wake Atalelewa na Ulimwengu.
Hao watoto tunaowabembeleza sasa, tuzingatie (tutake tusitake) iko siku hatutakuwa nao na hapo ndo Ulimwengu utachukua nafasi yake.
 
Mimi naona hapo ni hiyo 50,000. Sasa kama shule inafaulisha kwanza ni jambo la kumshukuru uongozi wa shule

Walimu sio wajinga , hawawezi toa adhabu bila kuwepo na kosa , kikubwa wazazi tuwe na moyo wa kumshukuru. Kazi wanayoifanya walimu ni kubwa sana
 
"Tunaomba mtusaidie kunusuru maisha ya watoto wetu hii shule ni kama imegeuzwa Kambi ya mateso kwa watoto wetu".

Hii ni kauli ya mmoja wa wazazi wenye watoto katika shule ya sekondari Wali iliyopo wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Shule hiyo inamilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi (CCM) ambayo licha ya kufanya vizuri kwenye elimu na kuwa na ufaulu mzuri,inalalamikiwa na wazazi kuwa imekuwa ikitoa adhabu Kali kwa wanafunzi na baadhi ya wazazi wamelazimika kuwaondoa watoto wao kwenye shule hiyo .

Shutuma nyingi zimeelekezwa kwa uongozi wa shule hiyo iliyopo chini ya mkuu wake wa shule Steven Luhende kwamba imekuwa ikitoa adhabu kali kwa wanafunzi ambazo zinakiuka hata miongozo na walaka wa elimu unaotoa maelekezo ya namna ya kutoa adhabu kwa wanafunzi .

Baadhi ya wazazi wanataka ofisi ya Ofisa elimu wa wilaya ya Hai ,Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Hia kuiangazia shule hiyo kwani ikiachwa ikaendelea na mfumo wake wa utoaji adhabu Kali ipo siku yatatokea ya kutokea .

Wakati hali ikiwa hivyo,Katika tukio la hivi karibuni kijana mmoja ambaye amemaliza kidato cha Sita shuleni hapo hivi karibuni alijikuta akinyimwa cheti chake baada ya kuingia eneo la shule hiyo akidaiwa kuwa na nywele ndefu .

Kijana hiyo alisotq kwa zaidi ya masaa Saba na licha ya jitihada za ndugu zake kutaka apewe cheti ili awahi chuoni jitihada hizo hazikuzaa matunda.

Hatua hiyo ililazimu uongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi(ccm)mkoa wa Kilimanjaro kuingilia kati na kuagiza kijana huyo apewe cheti chake.

Hata hivyo kibao kikageuka tena kwa Kijana huyo kuzushiwa jambo kwamba wakati anamaliza shule alikuwa anadaiwa pesa sh,50,0000 ambazo uongozi wa shule hiyo unadai zinatokana na uharibifu wa vitabu vitano.

Kutokana na umhimu wa cheti hicho kijana huyo alilazimika kufanya mawasiliano na ndugu zake ili waweze kumlipia pesa hizo na baada ya malipo kufanyiwa hatimaye akapewa cheti chake lakini hakupewa stakabadhi ya malipo na kuhoji kwa nini asipewe.

"Hebu muulize Mkuu wa shule kama alikuwa anadaiwa waliwezaje kumpa Results Slip na Leaving Certificate,Leo wanakuja na hadithi za kudaiwa elfu hamsini ,huu ni wizi na kwa nini wamemnyima risiti ambayo ni Hali yake kupewa?,anahoji mmoja wa watu wa karibu na kijana huyo.

Kazi kwenu mamlaka za elimu ,wazazi wanalalamika mateso ya watoto wao ,Sasa chukueni hatua.
Mkuu mbona issue ndogo hii.Shule haiitwi Wali Bali ni WARI.
 
Hakuna cha buree, Cheti hakitolewi hovyo km results slip au leaving certificate, alisemaga ticha m1 hivii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleee mzazi. Lol
 
Back
Top Bottom