Walichofanya GSM ni kututoa Akili, Kutubagaza na kutuita sisi Manyani na Mbwa

Walichofanya GSM ni kututoa Akili, Kutubagaza na kutuita sisi Manyani na Mbwa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Leo hii mimi mwenye akili timamu namshangiliaje Haji Manara? Huyu mshenzi ambaye alitutukana kwa kila tusi aliloweza kututukana leo hii sisi wenye akili tubebane naye?

Haya ni matusi. Na kutuaminisha alichosema Luc Eymael kuwa ni sahihi...Sisi ni Nyani au Mbwa. Na hili sitokubaliana nalo.

Kuna mazuri GSM imefanya kwa Yanga...but kwa hili hapana. Hapana nakataa. Kwa hiyo Haji Manara ndo tumeona ana msaada mkubwa kwetu? Kwa lipi?



Hii movie nlijua mapema sana. Kuwa GSM wanatuona hatuna akili. Wanaamini kuwa Haji ndiye solution ya matatizo yetu.
 
Screenshot_20210825-075853_Chrome.jpg

unatakiwa kubalance biashara na hadhi,hadhi ya club inapotea
 
Yani kweli hawa jamaa ni mabwege,, yani hawa kweli wakumshangilia haji na kusahau hukumu ya Morrison😄,, hivi pale yanga si kuna yule bumbuli na nugazi sasa yule haji tena wa kazi gani, ni kwamba Tanzania nzima wamekosa mtu kabisa wa kupiga porojo mpaka waende kwa haji,
Sawa ngoja tuone...
 
Maneno ya Utopolo:-
  • Manara ni mjinga hana sifa ya kuwa msemaji wa Timu
  • Manara hana weledi wa kazi
  • Manara hajielewi
  • Simba imfukuze Manara
  • Simba inaendeshwa kiswahiliswahili ndiyomana ina Manara.
  • Manara hana lolote zaidi ya uropokaji.

Sasa haya yote waliyoyasema yanawaridia wenyewe.
 
Leo hii mimi mwenye akili timamu namshangiliaje Haji Manara? Huyu mshenzi ambaye alitutukana kwa kila tusi aliloweza kututukana leo hii sisi wenye akili tubebane naye?

Haya ni matusi. Na kutuaminisha alichosema Luc Eymael kuwa ni sahihi...Sisi ni Nyani au Mbwa. Na hili sitokubaliana nalo.

Kuna mazuri GSM imefanya kwa Yanga...but kwa hili hapana. Hapana nakataa. Kwa hiyo Haji Manara ndo tumeona ana msaada mkubwa kwetu? Kwa lipi?

View attachment 1907298View attachment 1907299

Hii movie nlijua mapema sana. Kuwa GSM wanatuona hatuna akili. Wanaamini kuwa Haji ndiye solution ya matatizo yetu.
Ujio wa Haji Yanga ni uthibitisho tosha kuwa GSM ndiye mwenye sauti ya mwisho Yanga alitakalo ndilo linakuwa. Naamini hakuna kiongozi hata mmoja aliyechaguliwa na wana Yanga ambaye alikuwa na wazo la kumchukua huyu roporopo na hakuna ambaye amefurahia ujio wake,huu ni mpango wa Ghalib binafsi kwa ajili ya biashara yake ya jezi. Ghalib ni mfanyabiashara anachoangalia yeye ni kupata faida tu. Poleni wana Yanga kindakindaki, mwenye pesa siyo mwenzio.
 
Ujio wa Haji Yanga ni uthibitisho tosha kuwa GSM ndiye mwenye sauti ya mwisho Yanga alitakalo ndilo linakuwa. Naamini hakuna kiongozi hata mmoja aliyechaguliwa na wana Yanga ambaye alikuwa na wazo la kumchukua huyu roporopo na hakuna ambaye amefurahia ujio wake,huu ni mpango wa Ghalib binafsi kwa ajili ya biashara yake ya jezi. Ghalib ni mfanyabiashara anachoangalia yeye ni kupata faida tu. Poleni wana Yanga kindakindaki, mwenye pesa siyo mwenzio.
Kwani hilo hulijui?bila GSM, kuna yanga ambayo inaweza ikasimama kifua mbele?hiyo michango yenu ya buku buku, iliifikisha timu wapi?kwa GSM, kibiashara kumtumia haji ame wine sana, sasa pesa za yanga zinatoka gsm, acha manara awazalishie nyie si wazee wa kutumia tu?!!mnajua zinatoka wapi pesa za usajiri?kwani manara ni binadamu yaani aache kutengeneza maisha yake eti kwa kuogopa simba watanionaje?mambo ya kizamani hayo, nyie pigeni kelele jamaa mambo yake yanamnyookea tu!!mwanayanga ana hasara gani kwa ujio wake?zaidi ya faida tu kwani kwa kuhamasisha tu jamaa anaweza.
 
Eti msemaji wa timu, hii mambo ipo bongo tu nadhani...

Wenzetu ni ama meneja au kocha au mkurugenzi wa ufundi ndio huzungumzia hali ya timu
 
Yani kweli hawa jamaa ni mabwege,, yani hawa kweli wakumshangilia haji na kusahau hukumu ya Morrison😄,, hivi pale yanga si kuna yule bumbuli na nugazi sasa yule haji tena wa kazi gani, ni kwamba Tanzania nzima wamekosa mtu kabisa wa kupiga porojo mpaka waende kwa haji,
Sawa ngoja tuone...
Kwanza wamekubali kua wao ni wadogo kwenye hicho kitengo na hawana uwezo kumzidi haji na usikute hata mshahara wake ukawa mkubwa kuwazidi hao wote ambao wameipigania timu kwa kipindi kirefu
 
Back
Top Bottom