Walichofanya GSM ni kututoa Akili, Kutubagaza na kutuita sisi Manyani na Mbwa

Walichofanya GSM ni kututoa Akili, Kutubagaza na kutuita sisi Manyani na Mbwa

.
privaldinho-20210825-0001.jpg
 
Haji kawahakikishia Yanga atawapa ubingwa msimu huu,yeye ni kocha au mchezaji?
Nimekuja kushangaa aliposema baba na mama yake ni Yanga ,na mke ni Yanga ,aisee sijawahi kusikia upuuzi unahama timu kisa mke
Watu tunakuwa kwenye mizinguko ila mme ukirudi unaachiwa remote ya tv hiyo ndo usimba
 
Ajabu ni kua wanayanga hata hawalalamiliki ila comments nyingi hapo juu ni za wanasimba. Muacheni afanye kazi yake.
 
Sisi YANGA tumempokea kwa mikono miwili na TUNAMPENDA SANA.

Wewe utakuwa ni MKIA na unaumia sana kwasababu unajua vidonge vyake, subiri dawa iwaingie.

MIKIA Hoiiii
 
Haji alisema eti nyie uto mambo yenu ni kama ya Charlie Chaplin.🤣
 
Kwanza wamekubali kua wao ni wadogo kwenye hicho kitengo na hawana uwezo kumzidi haji na usikute hata mshahara wake ukawa mkubwa kuwazidi hao wote ambao wameipigania timu kwa kipindi kirefu
Ujio wa Haji haukuwa wa kiuhitaji zaidi bali ni siasa za ushabiki baina ya timu hizi mbili. Kingine ni kwamba huyu dogo Manara amefanyiwa tu fadhila kufanya kazi Yanga pale, lilikuwa ni ombi maalum kutoka kwa Mzee wake Sunday Manara.

Hatukuhitaji mtu wa aina yake katika lile eneo.
 
Ujio wa Haji Yanga ni uthibitisho tosha kuwa GSM ndiye mwenye sauti ya mwisho Yanga alitakalo ndilo linakuwa. Naamini hakuna kiongozi hata mmoja aliyechaguliwa na wana Yanga ambaye alikuwa na wazo la kumchukua huyu roporopo na hakuna ambaye amefurahia ujio wake,huu ni mpango wa Ghalib binafsi kwa ajili ya biashara yake ya jezi. Ghalib ni mfanyabiashara anachoangalia yeye ni kupata faida tu. Poleni wana Yanga kindakindaki, mwenye pesa siyo mwenzio.
Ofcourse kwa sasa GSM ndi wenye sauti ya mwisho kwa sasa, Je wewe ulitaka mzee mpili ndio awe sauti ya mwisho..

Sawa na upande wenu huko ambako hakuna kiongozi wa kawaida aliyependa kuuzwa kwa Miquesonne & Chama. Ulikuwa ni uamuzi wa Mo kwa sababu Mo ni mfanyabiashara.
 
Yani kweli hawa jamaa ni mabwege,, yani hawa kweli wakumshangilia haji na kusahau hukumu ya Morrison😄,, hivi pale yanga si kuna yule bumbuli na nugazi sasa yule haji tena wa kazi gani?
Bumbuli & Nugaz wanaendelea na kazi zao.

Haji hakuja Yanga SC kuchukua nafasi ya Usemaji (Yeye hana uwezo wa kuwa msemaji/mhamasishaji wa Klabu). Amekuja pale kwa lengo la kuzipa Milage bidhaa za GMS ambaye ni kama mdhamini mkuu wa Klabu kwa sasa.
 
Kwani hilo hulijui?bila GSM, kuna yanga ambayo inaweza ikasimama kifua mbele?hiyo michango yenu ya buku buku, iliifikisha timu wapi?kwa GSM, kibiashara kumtumia haji ame wine sana, sasa pesa za yanga zinatoka gsm, acha manara awazalishie nyie si wazee wa kutumia tu?!!mnajua zinatoka wapi pesa za usajiri?kwani manara ni binadamu yaani aache kutengeneza maisha yake eti kwa kuogopa simba watanionaje?mambo ya kizamani hayo, nyie pigeni kelele jamaa mambo yake yanamnyookea tu!!mwanayanga ana hasara gani kwa ujio wake?zaidi ya faida tu kwani kwa kuhamasisha tu jamaa anaweza.
Mkuu umeongea point sana. Ila kuna angle ambayo inafeli maandalizi ya uwanjani. Hawa utopolo ni binadamu pia uwezi ukawahamasisha kila siku afu matokeo hafifu. Kwenye soko unashauriwa market oriented sio product oriented. Yanga unafanya product oriented. Je, mashabiki wa Yanga wataendelea kufurahi timu ikiwa unapata matokeo mabaya kwa sababu manara anahamasisha. Naamini mngetafuta kwanza mashabiki wanahitaji nini( marketing oriented) ndipo wakija watu wa promo bidhaa inakua inauzika.
 
Back
Top Bottom