Walichofanya GSM ni kututoa Akili, Kutubagaza na kutuita sisi Manyani na Mbwa

Walichofanya GSM ni kututoa Akili, Kutubagaza na kutuita sisi Manyani na Mbwa

Mpokeeni mbona wapinzani wanapokeaga makapi ya ccm
 
Maneno ya Utopolo:-
  • Manara ni mjinga hana sifa ya kuwa msemaji wa Timu
  • Manara hana weledi wa kazi
  • Manara hajielewi
  • Simba imfukuze Manara
  • Simba inaendeshwa kiswahiliswahili ndiyomana ina Manara.
  • Manara hana lolote zaidi ya uropokaji.

Sasa haya yote waliyoyasema yanawaridia wenyewe.
Unagombana na mkeo daily halafu anatokea jirani anakushauri umuache, unamuacha mkeo kesho unamkuta kwa jirani anaosha vyombo
 
Back
Top Bottom