Maneno ya Utopolo:-
- Manara ni mjinga hana sifa ya kuwa msemaji wa Timu
- Manara hana weledi wa kazi
- Manara hajielewi
- Simba imfukuze Manara
- Simba inaendeshwa kiswahiliswahili ndiyomana ina Manara.
- Manara hana lolote zaidi ya uropokaji.
Sasa haya yote waliyoyasema yanawaridia wenyewe.