Walichokifanya Yanga kwa Simba sio sahihi

Unatofauti gani na mtoto anaejifunza jinsi ya kuandika sentensi? Kama mmoja wa Great thinkers weka ushahidi wa hivi unavyovisema lasivyo subiri majibu ya kwenye vijiwe vya kahawa
Ushahidi upi mkuu ingia YouTube utaona kila kitu
 
Bila ushahidi utavalishwa dera
Avic sio mali ya Yanga, tafuta hela hata ww unaweza kuishi pale
 
Yanga kama ccm, Wana roho mbaya kama wachawi.
 
Weka ushahidi
 
Wamebamizwa timu mbili at pa....
UtoMakirikiri
 
Aina hii ya mashabiki wa mbumbumbu Fc ndio wanao mfanya Rage awe maarufu.

Tengenezeni timu, mpira auchezwi kishirikina, msipoangalia mtaendelea kuishia robo kwa miaka mingi zaidi na Bado mtailaumu Yanga.
Huwezi cheza nusu kwa timu ya ku ungaunga mwishowe mnamtafuta mchawi.
 
Yanga walikua wana pata faida gani na hio mechi kiasi kwamba watumie pesa nyingi kiasi hicho? Makadirio ya kuifadhi team siku hizo zote ambayo ni chakula, maradhi, transport na training ground ni almost 50M je Yanga Wana utajiri huo wa kufuja pesa ?
 
Kwani mimi na mayele nani anawajua yanga mbona alisema mmemtupia majini sasa uongo unakujaje.
 
Yanga walikua wana pata faida gani na hio mechi kiasi kwamba watumie pesa nyingi kiasi hicho? Makadirio ya kuifadhi team siku hizo zote ambayo ni chakula, maradhi, transport na training ground ni almost 50M je Yanga Wana utajiri huo wa kufuja pesa ?
Kwani mlivyokuwa mnaenda airport mlikuwa mnapata faida gani kuwapokea wageni.
 
YANGA ina characters ( kisaikolojia za watu WEAK..
 
Kwani mlivyokuwa mnaenda airport mlikuwa mnapata faida gani kuwapokea wageni.
niambie faida za ambazo Yanga wangepata kisasi kwamba watumie pesa nyingi kiasi hicho kuwa gharamia Jwaneng, story za airport ni mashabiki ambao gharama yao ilikua nauli ya daladala
 
Ana hoja za msingi kuhusu MWIKO NYUMA FC asipuuzwe
 
Sioni sababu ya Simba kulalamika, kwanini wanalazimisha urafiki na yanga? Wao waichukulie Kama changamoto na wawajibu kwa vitendo.
 
Nasikitika kwa nini nimesoma upuuzi wa fala huyu!
Kenge wewe.
 
Kama ni hivyo yanga wazalendo, maana wanalalamika kupewa chakula chenye sumu
 
Kwani mimi na mayele nani anawajua yanga mbona alisema mmemtupia majini sasa uongo unakujaje.
Na wewe kwa akili zako timamu unaamini Mayele katupiwa majini??
Kweli makolozidadi mafala.
Asitupiwe majini FEISAL SALUM ALOONDOKA YANGA KWA UGUMU na bado anapeta Azam Fc.
Tengenezeni timu acheni kelele.
Ni fala tu anayeweza amini kuwa Mayele katupiwa jini ilhali Feitoto yupo na anaendelea na mpira wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…