Walichokifanya Yanga kwa Simba sio sahihi

Walichokifanya Yanga kwa Simba sio sahihi

Na wewe kwa akili zako timamu unaamini Mayele katupiwa majini??
Kweli makolozidadi mafala.
Asitupiwe majini FEISAL SALUM ALOONDOKA YANGA KWA UGUMU na bado anapeta Azam Fc.
Tengenezeni timu acheni kelele.
Ni fala tu anayeweza amini kuwa Mayele katupiwa jini ilhali Feitoto yupo na anaendelea na mpira wake.
Nyie nani anawaweza kwa ulozi kila siku TFF wanawapiga faini kwa kuruka ukuta.
 
niambie faida za ambazo Yanga wangepata kisasi kwamba watumie pesa nyingi kiasi hicho kuwa gharamia Jwaneng, story za airport ni mashabiki ambao gharama yao ilikua nauli ya daladala
Kwani engineer hersi na manara walipovaa jezi za Orlando pirates walipata faida gani ushaambiwa adui hana sababu hata kama yeye hanufaiki na chochote ni roho mbaya tu.
 
Ikiwa imepita siku moja tangu Simba amshushie kipigo kizito jwaneng galaxy pale kwenye dimba la Benjamin William mkapa, ni kawaida duniani kote lazima kutakuwa na team ambazo zina upinzani kwenye league husika kwa hyo sisi Tanzania tuna SIimba na Yanga ila kwa huu uhuni wanaoufanya Yanga kwa Simba viongozi wasikae kimya waswahili wanasema kisasi ni haki.

Kwa mambo haya waliyofanya Yanga walivuka mipaka:

1. Yanga waliwapokea jwaneng galaxy na wakawafadhili Kambi kigamboni.

2. Yanga walisafiri kwenda kwenye mechi ya Al Ahly wakamuacha video analyst ili asaidiane na benchi la ufundi la jwaneng galaxy.

3. Maneno aliyotoa kocha wa Jwaneng Galaxy kabla na baada ya mchezo alielekezwa na viongozi wa Yanga.

4. Gharama za usafiri, Malazi na chakula Jwaneng Galaxy hawakutoa hata senti moja tangia wamekuja mpaka wameondoka Tanzania Kigamboni FC walimaliza kazi.

5. Wachezaji wa Jwaneng Galaxy hawakuingia vyumba vya kubadilishia nguo kipindi cha mapumziko baada ya kuambiwa na Yanga kwamba Simba wameweka dawa vyumbani.

6. Yanga waliwaambia viongozi na wachezaji wa Jwaneng Galaxy kwamba Simba wana mbinu chafu nje ya uwanja hvyo wajiandae ndio zile vurugu zilitokea siku ya mechi.

7. Mashabiki wa Yanga wanaenda airport kuwapokea wageni na viongozi wao wanawapa baraka zote.

8. Siku ya mechi ya Simba na Orlando pirates pamoja na kaizer chief viongozi wa Yanga walivaa jezi za mpinzani hadharani wakionyesha kuwapa support wapinzani.

9. Viongozi wa Yanga walikuwa bega kwa bega na Jwaneng Galaxy kuanzia wanakuja Tanzania mpaka siku ya mechi mpaka halftime walikuwa pamoja kweli hii sio sawa.

10. Wataalamu wa yanga walio mtupia majini mayele wote walikuwa uwanjani kati ya mechi ya Jwaneng Galaxy na Simba ili kuwasadia wapinzani wao kufunga ila mwisho wa siku waliondoka na aibu.

NB: Simba hawajahi kushiriki kumsaidia mpinzani wakati anacheza na Yanga acheni roho mbaya.
Ujinga nao ni mzigo kamsikilize Rais karia alichokisema, umbumbumbu wenu wa kuzusha mambo ya ovyo ovyo na kuyaleta humu bila ushahidi mtakuja kuinamishwa siku moja!
 
Kwani engineer hersi na manara walipovaa jezi za Orlando pirates walipata faida gani ushaambiwa adui hana sababu hata kama yeye hanufaiki na chochote ni roho mbaya tu.
Hasimu wako kuvaa jezi ya mpinzani wako wewe inakuathiri nini???
Mbona akili za kipumbavu hizi??
Cheza mpira onesha kiwango uwanjani maisha yaendelee.
Kitu kidogo malalamiko kibaaooo kwa mtindo kama huu nina shaka kama hata we jamaa una maendeleo binafsi.
Maana usikute hata kazini ukiguswa kidogo umejaa.
 
Ikiwa imepita siku moja tangu Simba amshushie kipigo kizito jwaneng galaxy pale kwenye dimba la Benjamin William mkapa, ni kawaida duniani kote lazima kutakuwa na team ambazo zina upinzani kwenye league husika kwa hyo sisi Tanzania tuna SIimba na Yanga ila kwa huu uhuni wanaoufanya Yanga kwa Simba viongozi wasikae kimya waswahili wanasema kisasi ni haki.

Kwa mambo haya waliyofanya Yanga walivuka mipaka:

1. Yanga waliwapokea jwaneng galaxy na wakawafadhili Kambi kigamboni.

2. Yanga walisafiri kwenda kwenye mechi ya Al Ahly wakamuacha video analyst ili asaidiane na benchi la ufundi la jwaneng galaxy.

3. Maneno aliyotoa kocha wa Jwaneng Galaxy kabla na baada ya mchezo alielekezwa na viongozi wa Yanga.

4. Gharama za usafiri, Malazi na chakula Jwaneng Galaxy hawakutoa hata senti moja tangia wamekuja mpaka wameondoka Tanzania Kigamboni FC walimaliza kazi.

5. Wachezaji wa Jwaneng Galaxy hawakuingia vyumba vya kubadilishia nguo kipindi cha mapumziko baada ya kuambiwa na Yanga kwamba Simba wameweka dawa vyumbani.

6. Yanga waliwaambia viongozi na wachezaji wa Jwaneng Galaxy kwamba Simba wana mbinu chafu nje ya uwanja hvyo wajiandae ndio zile vurugu zilitokea siku ya mechi.

7. Mashabiki wa Yanga wanaenda airport kuwapokea wageni na viongozi wao wanawapa baraka zote.

8. Siku ya mechi ya Simba na Orlando pirates pamoja na kaizer chief viongozi wa Yanga walivaa jezi za mpinzani hadharani wakionyesha kuwapa support wapinzani.

9. Viongozi wa Yanga walikuwa bega kwa bega na Jwaneng Galaxy kuanzia wanakuja Tanzania mpaka siku ya mechi mpaka halftime walikuwa pamoja kweli hii sio sawa.

10. Wataalamu wa yanga walio mtupia majini mayele wote walikuwa uwanjani kati ya mechi ya Jwaneng Galaxy na Simba ili kuwasadia wapinzani wao kufunga ila mwisho wa siku waliondoka na aibu.

NB: Simba hawajahi kushiriki kumsaidia mpinzani wakati anacheza na Yanga acheni roho mbaya.
NIlijua unajenga hoja , ila nilipoona namba 10 nikagundua uwezo wa Ubongo wako.
Am off
 
Hasimu wako kuvaa jezi ya mpinzani wako wewe inakuathiri nini???
Mbona akili za kipumbavu hizi??
Cheza mpira onesha kiwango uwanjani maisha yaendelee.
Kitu kidogo malalamiko kibaaooo kwa mtindo kama huu nina shaka kama hata we jamaa una maendeleo binafsi.
Maana usikute hata kazini ukiguswa kidogo umejaa.
Maendeleo yangu binafsi ww hayakuhusu halafu hata kama yanakuhusu wewe huwezi kufanya watu wote wawe na maendeleo ww mwenye maendeleo nenda airport ukapokee wageni ili uongeze kipato.
 
Ikiwa imepita siku moja tangu Simba amshushie kipigo kizito jwaneng galaxy pale kwenye dimba la Benjamin William mkapa, ni kawaida duniani kote lazima kutakuwa na team ambazo zina upinzani kwenye league husika kwa hyo sisi Tanzania tuna SIimba na Yanga ila kwa huu uhuni wanaoufanya Yanga kwa Simba viongozi wasikae kimya waswahili wanasema kisasi ni haki.

Kwa mambo haya waliyofanya Yanga walivuka mipaka:

1. Yanga waliwapokea jwaneng galaxy na wakawafadhili Kambi kigamboni.

2. Yanga walisafiri kwenda kwenye mechi ya Al Ahly wakamuacha video analyst ili asaidiane na benchi la ufundi la jwaneng galaxy.

3. Maneno aliyotoa kocha wa Jwaneng Galaxy kabla na baada ya mchezo alielekezwa na viongozi wa Yanga.

4. Gharama za usafiri, Malazi na chakula Jwaneng Galaxy hawakutoa hata senti moja tangia wamekuja mpaka wameondoka Tanzania Kigamboni FC walimaliza kazi.

5. Wachezaji wa Jwaneng Galaxy hawakuingia vyumba vya kubadilishia nguo kipindi cha mapumziko baada ya kuambiwa na Yanga kwamba Simba wameweka dawa vyumbani.

6. Yanga waliwaambia viongozi na wachezaji wa Jwaneng Galaxy kwamba Simba wana mbinu chafu nje ya uwanja hvyo wajiandae ndio zile vurugu zilitokea siku ya mechi.

7. Mashabiki wa Yanga wanaenda airport kuwapokea wageni na viongozi wao wanawapa baraka zote.

8. Siku ya mechi ya Simba na Orlando pirates pamoja na kaizer chief viongozi wa Yanga walivaa jezi za mpinzani hadharani wakionyesha kuwapa support wapinzani.

9. Viongozi wa Yanga walikuwa bega kwa bega na Jwaneng Galaxy kuanzia wanakuja Tanzania mpaka siku ya mechi mpaka halftime walikuwa pamoja kweli hii sio sawa.

10. Wataalamu wa yanga walio mtupia majini mayele wote walikuwa uwanjani kati ya mechi ya Jwaneng Galaxy na Simba ili kuwasadia wapinzani wao kufunga ila mwisho wa siku waliondoka na aibu.

NB: Simba hawajahi kushiriki kumsaidia mpinzani wakati anacheza na Yanga acheni roho mbaya.
Utopolo wana wivu sana na Simba, wanalazimisha kufanana kimataifa.Bado wana mengi ya kujifunza wakubalii tu.
 
Back
Top Bottom