Kenyan intelligence community ni dhaifu mno,soon mtasikia madaktari wanagoma tena sababu hiyo danganya toto yao haiwezekaniki ghafla hivyo.
Kwani nimekuuliza wewe?
Tehehehee.....Naona unauliza stupid random questions which are neither here nor there
Wameanza kwenda kazin jana usibishe tuAcha ungo hakuna mafikiano yaliopatikana Kenya serkali imekataa kuzungumza Na madactari had I warudi Kwanzaa kazini
Wewe ndo muongoAcha ungo hakuna mafikiano yaliopatikana Kenya serkali imekataa kuzungumza Na madactari had I warudi Kwanzaa kazini
Kijana daktari anayetokea chuo bila ujuzi (medical intern) atakua anapiga mpunga wa kitita cha Kshs 196,244 (Tshs 4,513,612)
Daktari Kenya anayeanza taaluma, yaani entry level ya job group N (mid-level medical officer) mshahara wake umepanda kutoka Ksh 146,190 (Tshs 3,362,370) hadi Kshs 241,524 (Tshs 5,555,052) hii ni pamoja na mafao mengine saba.
Wale specialist mishahara yao imepanda hadi Kshs 442,060 (Tshs 10,167,380) pamoja na mafao lukuki.
Hongera zao, ila ingekua bora maafikiano kama haya yanatekelezwa bila maafa kwa Wakenya, wengi tumeteseka kisa pande zote mbili hakuna aliyekua tayari kushuka. Natumai na kuomba wana taaluma zingine wasiingie kwenye migomo na pawe na jinsi ya kuwarekebishia maana tukiendelea hivi, sitashangaa kuwaona wanajeshi wetu nao wamegoma japo hawaruhusiwi.
Death, pain: Cost of hospital strikes
Hahaha push up. Kwani yeye Mungu asijaribiwe?Sio kwa enzi ya Magufuli, tena yule hawawezi kumjaribu maana alishasema asijaribiwe. Wathubutu kugoma goma huko Tanzania ndio watajua pushups alizokua anafanya wakati wa kampeni zilikua na umuhimu fulani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Vp TBC wameitangaza hiyo?
Hahahaha.....Atleast hide your stupidity by keep quiet. It helps
Kijana daktari anayetokea chuo bila ujuzi (medical intern) atakua anapiga mpunga wa kitita cha Kshs 196,244 (Tshs 4,513,612)
Daktari Kenya anayeanza taaluma, yaani entry level ya job group N (mid-level medical officer) mshahara wake umepanda kutoka Ksh 146,190 (Tshs 3,362,370) hadi Kshs 241,524 (Tshs 5,555,052) hii ni pamoja na mafao mengine saba.
Wale specialist mishahara yao imepanda hadi Kshs 442,060 (Tshs 10,167,380) pamoja na mafao lukuki.
Hongera zao, ila ingekua bora maafikiano kama haya yanatekelezwa bila maafa kwa Wakenya, wengi tumeteseka kisa pande zote mbili hakuna aliyekua tayari kushuka. Natumai na kuomba wana taaluma zingine wasiingie kwenye migomo na pawe na jinsi ya kuwarekebishia maana tukiendelea hivi, sitashangaa kuwaona wanajeshi wetu nao wamegoma japo hawaruhusiwi.
Death, pain: Cost of hospital strikes
Am pretty sure your english helps everytime you meet with Al Shabab.Just Check this Tz chap from Kata schools' poor English! What a pity.
Kwani nimekuuliza wewe? Achana na mimi we chokoraa!
Kama hauna cha kusema nyamazaAcha ungo hakuna mafikiano yaliopatikana Kenya serkali imekataa kuzungumza Na madactari had I warudi Kwanzaa kazini
Stop being petty prissBaba goes out of the country and all the strikes are resolved, isorait
Kwenda huko ...enda server za JF zikupe jibuKwani nimekuuliza wewe? Achana na mimi we chokoraa!
Kwenda huko ...enda server za JF zikupe jibu
1st That is just low...Am pretty sure your english helps everytime you meet with Al Shabab.
Najua umenimiss baba Kaa chini i entertain ur commentsAngalia mwingine huyu!