Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 53
- 539
Walikuwa hawaamini until Lissu kaenda Dodoma ndio vichwa vimewakaa sawa. Kila kona anakopita nyomi kama lote, tena lile la hiari hamna anayebebwa wala kulazimishwa kwenda kwenye mikutano.
Nimesikia kwenye baadhi ya maeneo mnawalazimisha watumishi kwenda kwenye mikutano yenu. Naomba niwaambie tu hiyo ni kama kujitekenya na kuchema mwenyewe.
Huwezi kukwepa ngumi ya uso kwa kufumba macho. Fungueni macho muone uhalisia wa mambo. Upepo umebadilika na hakuna njia yoyote inayoweza kubadili uelekeo wa upepo.
Nimesikia kwenye baadhi ya maeneo mnawalazimisha watumishi kwenda kwenye mikutano yenu. Naomba niwaambie tu hiyo ni kama kujitekenya na kuchema mwenyewe.
Huwezi kukwepa ngumi ya uso kwa kufumba macho. Fungueni macho muone uhalisia wa mambo. Upepo umebadilika na hakuna njia yoyote inayoweza kubadili uelekeo wa upepo.