kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 277
Kwa makanisa ya wakatoliki yenye maeneo makubwa maranyingi mapadre
huzikwa kwenye maeneo hayo. Kisa hiki kilitokea kwenye makaburi
walikozikwa watumishi wa mungu. Vijana walienda kuiba machungwa huku
wakijua mlinzi wa kanisa ambae ni mmoja wa wazee wanoko kanisani
akikukamata umekwisha. Wakati wameshapata machungwa ya
kutosha wakasikia nyayo za mtu wakajua ni mlinzi. Vijana wakaanza
kugawana machungwa huku wakisema huyu wako huyu wangu. WAKO NA HUYU
WANGU mlinzi kusikia hivyo akatimua mbio kwenda kumuita padre.
WALIPOFIKA jamaa kama kawa wangu huyu wako mpaka yakabaki machungwa
mawili mmoja wa vijana akasema hawa wawili waliobaki wanani? Padre na
mlinzi wakatawanyika kwa speed ya ajabu wakiamini mungu na shetani
walikuwa wanagawana wafu makaburini.
huzikwa kwenye maeneo hayo. Kisa hiki kilitokea kwenye makaburi
walikozikwa watumishi wa mungu. Vijana walienda kuiba machungwa huku
wakijua mlinzi wa kanisa ambae ni mmoja wa wazee wanoko kanisani
akikukamata umekwisha. Wakati wameshapata machungwa ya
kutosha wakasikia nyayo za mtu wakajua ni mlinzi. Vijana wakaanza
kugawana machungwa huku wakisema huyu wako huyu wangu. WAKO NA HUYU
WANGU mlinzi kusikia hivyo akatimua mbio kwenda kumuita padre.
WALIPOFIKA jamaa kama kawa wangu huyu wako mpaka yakabaki machungwa
mawili mmoja wa vijana akasema hawa wawili waliobaki wanani? Padre na
mlinzi wakatawanyika kwa speed ya ajabu wakiamini mungu na shetani
walikuwa wanagawana wafu makaburini.