TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.