Walimu acheni tamaa za ovyo

Walimu acheni tamaa za ovyo

1300 kwa wiki kwa mtoto kufanya mitihani ndo unalalama? Sasa unaishi maisha Gani? Kua makini kwa umaskini huo utakuja kupakatwa pumbavu[/QUO

Sh 1200× siku 3 kwa week ni sh 3600
@ student atatoa,
Sh 3600×4 weeks ni sh 14,400 @ student atalipa kwa mwezi kwa ajili ya mtihani..

Sh 14,400/ ×200 students = Ni sh 2,880,000/
za mtihani kwa wanafunzi 200 tu.

Hapo bado sh 20000 @ student analipa za Kula shule mchana kila mwezi..

@ student sh 20000× 200 students=
sh 4,000,000 kwa mwezi..,

Hii ni kwa ajili ya Kula lunch mbovu ya ubwabwa na maharage yasio mafuta..

Jumla kila mwanafunzi atatoa sh 34,400/ kwa mwezi.
(Lunch pamoja na mtihani.)

Kwa mwezi jumla sh 2880000 za mtihani wanafunzi wote 200,
+ Sh 4,000,000 pesa za chakula kwa mwezi wanafunzi wote 200 ,
Ni .=6,880,000 wanafunzi wote kwa mwezi.

Kwa miezi 10 ni Sawa na sh millioni 68,800,000 ,,za michango ya wazazi..


Kwako sh 1200/ utaona ndogo sababu bado unaishi kwa shemeji

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni kwamba mfumo wa elimu yetu ni "examination oriented" ili mtoto afauli inabidi azoe mitahani mbali mbali mpaka akalili majibu.
Huu ndio ukweli wenyewe aisee
 
Traffic anakula za dereva, TRA. Anakula za walipa kodi, wabunge wanakula za vikao+rushwa za kamati, Ardhi wanakula za hati, kodi ya ardhi n.k walimu acha wale hizo 5000 Kila wiki, otherwise Baki na mtoto wako asifanye hiyo mitihani kwani lazima?

Nawahakikishieni enyi mnaowadhihaki walimu Kwa vipato vyao vidogo, siku wakiamua na kuanza kuwakamua ili kufundisha watoto wenu mtalia sana!

Assume, mtoto wako Kila mtihani anapata sifuri, utamfundisha nyumbani kwako? Au utatafuta mwalimu wa tuition umlipe 50,000 Kwa mwezi? (Badala ya 6000 anayochukua mwalimu wake shuleni)

Nawashauri walimu anzisheni operation ya kuwatia adabu wazazi aina ya huyu jamaa, ukiingia darasani kuna toto la mtu kama huyu, unapotoa nje likafundishwe na baba yake, (Kwa kumtafutia sababu genuine) hapo hamshindwi [emoji23][emoji23][emoji23]

Baada ya sifuri lukuki za watoto wao, watanyoosha mikono tu na kuheshimu kazi mnayoifanya, I always respect teachers, wanafanya kazi kubwa mno ila wajinga hulinganisha thamani yao na pesa! UPUMBAVU tu!
Unazungumzia mambo ya kufikirika wakati hoja yangu ipo wazi,usikaze fuvu we matter core
 
Mkumbuke kizazi cha sasa kina mambo mengi vichwani mwao. Mkitaka wasifanye majaribio ya mara kwa mara, hao watoto wenu watafanya vibaya kwenye mitihani yao.

Watieni moyo walimu. Maana wanapambana sana. Kama mzazi hafahamu mchanganuo wa hiyo 1200, alitakiwa kwenda shile husika kuilizia ili aelewe.

Kukimnilia tu humu jukwani kulalamika, ni moja ya dalili ya kutojitambua kwa mzazi husika.
Mnatupanga kishamba kwamba hatukwenda shule ati
 
Kupitia huu uzi nimegundua watu wengi humu ni walimu
 
Unajua ratiba ya mitihani kwa mujibu wa fedha zinazokua allocated na serikali Ni mingapi?
Ni mitihani minne tu!

Kwahiyo kwa maana ya fitness test mwalimu atumie mshahara wake kununua rim, kuchapa mtihani, kudurufu mitihani na kusimamia kwa muda wake amark na arudishe matokeo plus correction?

Nenda kwenye Shule za kulipia Kuna weekly au Monday tests, Kuna Continues Assessment Tests (CAT) Inayofanyila monthly, Kuna Pre-midterm test halafu Kuna hiyo midterm test halafu Kuna self assessment za mwalimu wa SoMo peke yake!

Mpaka huyu mwanafunzi aje kufanya mitihani kwa mujibu wa ratiba ya serikali anakua tayari ameinternalize kila kitu katika topic au mada husika kwahiyo pass Mark y lazima iwe above 75%
Ufanyaji wa mitihani hiyo Ni kwamba shule inahakikisha imeprovide all necessary facilities kwa ajili ya mwalimu kuhakikisha malengo yake yanatimia, ya shule yanatimia pamoja na ya mzazi na mwanafunzi

Ndugu hizo Shule zinaitwa community schools yaani shule za umma kwahiyo ili upate ufaulu mzuri lazima hiyo community iwe responsible kwa kila kitu, serikali inajenga madarasa, kuweka madawati na kuleta walimu na chaki! Mengine mtajua wenyewe ikiwemo chakula na Mambo mengine.
Kama hujui Kama nchi hii Ina shule ya Aina nne endelea kupiga kelele:

1. State schools (Tambaza, Tabora Boys Ashira, weru weru Bunge, Olympio nk. Huko hutasikia wakimtuma mtoto rim au buku ya msosi! Kila kitu Ni budget ya serikali

2. Community Schools, Ni hizo unazolalamika bila kujua kwamba ninyi ndo mnahusika!

3. Kuna institutional schools shule za taaissi za dini na nyinginezo ikiwemo shule za CCM

4. Shule za watu binafsi!

Category number 2-4 huko inatolewa elimu na Kuna uwekezaji mkubwa wa fedha na rasilimali watu!

Number 1 ndiko uliko wewe, wakati unakenua meno elimu Bure tambua kwamba Elimu Ni Ghali na Elimu Ni gharama Kama ilivyo Afya!
Huko kwenu wanahudhuria shule na sio kwenda kujifunza.

Kwahiyo Kama unaona elimu Ni Ghali jaribu ujinga!

Elimu bure Ni bure kwasababu hakuna maarifa yoyote wanayopata wahudhuriaji!
Kila baada ya siku 3,mtihani gani,msitufanye sisi wajinga
 
Wazazi wenye akili mgando, mwanao anafanya mitihani anapata sharpness na kuzoea mitihani mzazi analalamika.

Tutafte pesa kwa bidii wanajamii forum wenzangu, sasa sijui hio 1300 kwa mwezi hata elfu 10 haifiki ndo kitu Cha kulalalama tena kwenye elimu ya mwanao? Kila mtu anajua anakula vipi kazini kwake, sioni tatizo walimu wakipata chochote kitu ilhali wanasaidia wanafunzi.

Msione Kila siku kemebos sijus st Francis wanaleta division 1 cream mnalalamika sijui wanaiba mitihani, Hawa watoto wanafundishwa haswa na wanaofanya mitihani Kila wiki, hata kama wanafanya ujanja bado ni kuwaboost wanafunzi ambao wapo sharp, mitoto kama ya taifa sekondari hata ukiyapa mitihani inayofanya kesho ilale nayo bado Kuna mingine itafeli tu, maana unakuta hata English changamoto.

Wazazi tuachane kulalama Dunia imebadilika , mnalia Lia hizo elf 10 kwa mwezi wakati nursery watu wanalipa zaidi ya milion 2 kwa mwaka, shauri yenu na watoto wenu bana.

Nimesahau kitu, PUMBAVU!
Dah [emoji23]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Yani mwanaume kakaa kashika simu,Katia vocha ,kajiunga analalamikia sh 1300/ Kwa wiki ya mtoto wake apate Elimu!?? Aiseeeeee!!!
Wahenga walisema " ukiona elimu ni ghali ,jaribu ujinga!!!"
 
Back
Top Bottom