Walimu acheni tamaa za ovyo

Walimu acheni tamaa za ovyo

Sawa,haturudii tena
walimu zidisheni mitiani ya kutosha ,
hili la shule kutokuwa na mashine za kuchapa mitiani haya ndio mambo ya kuzungumza si kina lema wanatukana bodada na kujisifia kuvaa chupi na kadeti za kisasa
 
Watumie pesa wanazopewa na Serikali na sio kutoza wanafunzi
Unajua ratiba ya mitihani kwa mujibu wa fedha zinazokua allocated na serikali Ni mingapi?
Ni mitihani minne tu!

Kwahiyo kwa maana ya fitness test mwalimu atumie mshahara wake kununua rim, kuchapa mtihani, kudurufu mitihani na kusimamia kwa muda wake amark na arudishe matokeo plus correction?

Nenda kwenye Shule za kulipia Kuna weekly au Monday tests, Kuna Continues Assessment Tests (CAT) Inayofanyila monthly, Kuna Pre-midterm test halafu Kuna hiyo midterm test halafu Kuna self assessment za mwalimu wa SoMo peke yake!

Mpaka huyu mwanafunzi aje kufanya mitihani kwa mujibu wa ratiba ya serikali anakua tayari ameinternalize kila kitu katika topic au mada husika kwahiyo pass Mark y lazima iwe above 75%
Ufanyaji wa mitihani hiyo Ni kwamba shule inahakikisha imeprovide all necessary facilities kwa ajili ya mwalimu kuhakikisha malengo yake yanatimia, ya shule yanatimia pamoja na ya mzazi na mwanafunzi

Ndugu hizo Shule zinaitwa community schools yaani shule za umma kwahiyo ili upate ufaulu mzuri lazima hiyo community iwe responsible kwa kila kitu, serikali inajenga madarasa, kuweka madawati na kuleta walimu na chaki! Mengine mtajua wenyewe ikiwemo chakula na Mambo mengine.
Kama hujui Kama nchi hii Ina shule ya Aina nne endelea kupiga kelele:

1. State schools (Tambaza, Tabora Boys Ashira, weru weru Bunge, Olympio nk. Huko hutasikia wakimtuma mtoto rim au buku ya msosi! Kila kitu Ni budget ya serikali

2. Community Schools, Ni hizo unazolalamika bila kujua kwamba ninyi ndo mnahusika!

3. Kuna institutional schools shule za taaissi za dini na nyinginezo ikiwemo shule za CCM

4. Shule za watu binafsi!

Category number 2-4 huko inatolewa elimu na Kuna uwekezaji mkubwa wa fedha na rasilimali watu!

Number 1 ndiko uliko wewe, wakati unakenua meno elimu Bure tambua kwamba Elimu Ni Ghali na Elimu Ni gharama Kama ilivyo Afya!
Huko kwenu wanahudhuria shule na sio kwenda kujifunza.

Kwahiyo Kama unaona elimu Ni Ghali jaribu ujinga!

Elimu bure Ni bure kwasababu hakuna maarifa yoyote wanayopata wahudhuriaji!
 
Unajua ratiba ya mitihani kwa mujibu wa fedha zinazokua allocated na serikali Ni mingapi?
Ni mitihani minne tu!

Kwahiyo kwa maana ya fitness test mwalimu atumie mshahara wake kununua rim, kuchapa mtihani, kudurufu mitihani na kusimamia kwa muda wake amark na arudishe matokeo plus correction?

Nenda kwenye Shule za kulipia Kuna weekly au Monday tests, Kuna Continues Assessment Tests (CAT) Inayofanyila monthly, Kuna Pre-midterm test halafu Kuna hiyo midterm test halafu Kuna self assessment za mwalimu wa SoMo peke yake!

Mpaka huyu mwanafunzi aje kufanya mitihani kwa mujibu wa ratiba ya serikali anakua tayari ameinternalize kila kitu katika topic au mada husika kwahiyo pass Mark y lazima iwe above 75%
Ufanyaji wa mitihani hiyo Ni kwamba shule inahakikisha imeprovide all necessary facilities kwa ajili ya mwalimu kuhakikisha malengo yake yanatimia, ya shule yanatimia pamoja na ya mzazi na mwanafunzi

Ndugu hizo Shule zinaitwa community schools yaani shule za umma kwahiyo ili upate ufaulu mzuri lazima hiyo community iwe responsible kwa kila kitu, serikali inajenga madarasa, kuweka madawati na kuleta walimu na chaki! Mengine mtajua wenyewe ikiwemo chakula na Mambo mengine.
Kama hujui Kama nchi hii Ina shule ya Aina nne endelea kupiga kelele:

1. State schools (Tambaza, Tabora Boys Ashira, weru weru Bunge, Olympio nk. Huko hutasikia wakimtuma mtoto rim au buku ya msosi! Kila kitu Ni budget ya serikali

2. Community Schools, Ni hizo unazolalamika bila kujua kwamba ninyi ndo mnahusika!

3. Kuna institutional schools shule za taaissi za dini na nyinginezo ikiwemo shule za CCM

4. Shule za watu binafsi!

Category number 2-4 huko inatolewa elimu na Kuna uwekezaji mkubwa wa fedha na rasilimali watu!

Number 1 ndiko uliko wewe, wakati unakenua meno elimu Bure tambua kwamba Elimu Ni Ghali na Elimu Ni gharama Kama ilivyo Afya!
Huko kwenu wanahudhuria shule na sio kwenda kujifunza.

Kwahiyo Kama unaona elimu Ni Ghali jaribu ujinga!

Elimu bure Ni bure kwasababu hakuna maarifa yoyote wanayopata wahudhuriaji!
nimesikitika sana mtu analalamika mtiani kila bada ya siku tatu ni mingi!
kwa jinsi masomo yalivyo na mada nyingi tena ndefu hilo alifikirii ,elimu bora ni pamoja na kumpima mwanafunzi kwa kila ulicho fundisha ,na njia nziri ni kumpa mtiani .tukisema kusiwe na mitiani mingi ya ndani tusubiri ya muula na kitaifa sijui ni elimu gani iyo.
 
Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.

Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?

Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Pole sana ndugu, hakuna namna waalimu nao wanahitaji posho za kujikimu kwa hio lazima wawakamue wazazi kidogo
Kuna shule kimara walimu walikuwa wanatoza sh500 ya mtihani mmoja kila siku na 1500 kila jumamosi
hapo unakuta mzazi ana watoto watatu shulenu na biashara yake haimpi faida ata ya 10,000 kwa siku

mzazi mmoja kimya kimya akaenda kushtaki wakaguz wa elimu wakasimamisha kufanyika kwa hio mitihani
 
Mkumbuke kizazi cha sasa kina mambo mengi vichwani mwao. Mkitaka wasifanye majaribio ya mara kwa mara, hao watoto wenu watafanya vibaya kwenye mitihani yao.

Watieni moyo walimu. Maana wanapambana sana. Kama mzazi hafahamu mchanganuo wa hiyo 1200, alitakiwa kwenda shile husika kuilizia ili aelewe.

Kukimnilia tu humu jukwani kulalamika, ni moja ya dalili ya kutojitambua kwa mzazi husika.
Kwanini wasifanye bure hizo tests..

Hapa tunapinga kuwekwa kiwango cha pesa sh 1200 kila tests.
Hatupingi kufanya tests.

Kama ingekuwa tests bila pesa hata kila siku wafanye tu.

RIP MAGUFULI,,,huu upuuzi ulikoma kabisa mashuleni.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.

Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?

Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Wanachokifanya wanaitisha kikao cha wazazi kisha wanawapa maelezo meengi mpaka wazazi wanachanganyikiwa mwisho wanawaambia wazazi wawe wanachangia. Wazazi kwa kuhofia watoto wao kufeli wanakubali matokea kila siku tunachangishwa. Sasa kwa Dar kila mtihani wazazi wanalipia kwa hiyo ile pesa za elimu bure sijui zinakwenda wapi. Mpaka mock ya wilaya na mkoa tunachangishwa wazazi.
 
Kwanini wasifanye bure hizo tests..

Hapa tunapinga kuwekwa kiwango cha pesa sh 1200 kila tests.
Hatupingi kufanya tests.

Kama ingekuwa tests bila pesa hata kila siku wafanye tu.

RIP MAGUFULI,,,huu upuuzi ulikoma kabisa mashuleni.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Hizo shule za serikali na hasa zile za Kata, zina changamoto nyingi za kifedha kuliko hata unavyofikiri. Nina rafiki yangu wa karibu ni mkuu wa shule, analalamika mpaka basi.

Na wakati huo huo unatakiww ufaulishe wanafunzi wote. Sasa usipotumia njia za aina hii, hao wanafunzi watafaulu vipi?
 
Tafuta pesa kijana, huwezi kuja kulia Lia kwa wanaume kisa sijui 1300 kwa wiki, na we unaitwa baba? Afu mtoto wako anasoma shule ambayo huna contants za walimu wake? Kama imekuuma sana piga simu shuleni, narudia tena PUMBAVU!!
...Mkuu, ukiwa na Vipesa Haina maana ukubali kuvitoa toa Kwa sababu ubavyo !.
 
Hizo shule za serikali na hasa zile za Kata, zina changamoto nyingi za kifedha kuliko hata unavyofikiri. Nina rafiki yangu wa karibu ni mkuu wa shule, analalamika mpaka basi.

Na wakati huo huo unatakiww ufaulishe wanafunzi wote. Sasa usipotumia njia za aina hii, hao wanafunzi watafaulu vipi?
Kwamba hawalipwi mishahara au wana changamoto gani?

Siku hizi wamezusha mtindo mwingine kulazimisha wanafunzi Kula lunch zinazopikwa hapo shule mchana na wanataka 20,000 kila mwezi..
Kwa kila mwanafunzi,,,

Huoni kama wanazidisha mzigo kwa wanainchi?
Hivi utalazimishaje mtoto ale shule Saa 7 mchama wakati nyumbani akirudi Saa 9 atakuta chakula?

Why walimu why?

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.

Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?

Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Kula kwa urefu wa kamba
 
Wazazi wenye akili mgando, mwanao anafanya mitihani anapata sharpness na kuzoea mitihani mzazi analalamika.

Tutafte pesa kwa bidii wanajamii forum wenzangu, sasa sijui hio 1300 kwa mwezi hata elfu 10 haifiki ndo kitu Cha kulalalama tena kwenye elimu ya mwanao? Kila mtu anajua anakula vipi kazini kwake, sioni tatizo walimu wakipata chochote kitu ilhali wanasaidia wanafunzi.

Msione Kila siku kemebos sijus st Francis wanaleta division 1 cream mnalalamika sijui wanaiba mitihani, Hawa watoto wanafundishwa haswa na wanaofanya mitihani Kila wiki, hata kama wanafanya ujanja bado ni kuwaboost wanafunzi ambao wapo sharp, mitoto kama ya taifa sekondari hata ukiyapa mitihani inayofanya kesho ilale nayo bado Kuna mingine itafeli tu, maana unakuta hata English changamoto.

Wazazi tuachane kulalama Dunia imebadilika , mnalia Lia hizo elf 10 kwa mwezi wakati nursery watu wanalipa zaidi ya milion 2 kwa mwaka, shauri yenu na watoto wenu bana.

Nimesahau kitu, PUMBAVU!
Mwalimu acha njaa
 
Sio teacher ila nyi ndo muache njaa, hizo sio pesa za mwanaume mtafutaji kuja kulia mbele za wanaume

Hio pesa ya mwezi Wavivu camp hata bia Moja hunywi hapo, tafuteni hela pumbavu
Kwamba hata kama una mamilion yai pesa, ziliwe na watu bure bure tu.

Kama unataka pesa za bure Si tufanye makubaliano tu.

Kwani VASELINE sh ngpi?.
.
Yaani kabisa unashauri pesa za wanaume wenzio zitoke burebure bila jasho upewe.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Kula kwa urefu wa kamba
Hatari Sana,,

Halafu mbaya zaidi Ktk kila shule ya serikali Kuna kigenge cha wahuni wapigaji wamejivika mwamvuli wa uongozi wa umoja wa wazazi wa wanafunzi.


Hawa ndy chawa na walamba asali mashuleni,, wanakula pamoja na walimu ,,

Wanapanga maamuzi kama vile wazazi wote wameafiki maamuzi hayo..
Ukiwabana kwa hoja mkutanoni watakushambulia kama nyuki mradi watimize Azma yao ya upigaji.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Butimba sekondari ya mwanza michango ni kama ifuatavyo.
1. Gharama za photocopy- 5000@month
2. Gharama za chakula-30000@month
3. Gharama za tuisheni-1000@month
4. Gharama za walimu wa kujitolea- 2000@month
5. Tisheti - 12000
6. Rim papers-16000 as per now.
Jumla kuu: kwa mwezi ni 38,000/ ukitoa tisheti na rim zinazojumuishwa kwenye grand total ya mwaka mzima.
Hapo mzazi hajagharamikia nauli ya mwanae.
Kweli walimu wameamua kunyoosha makucha.

Mwisho kabisa. Wanafunzi wa form one hawasomi na mkuu wa shule amedai watafundishwa masomo mawili tu mwaka huu,
Hesabu Na kiingereza.

Rais Samia toa ajira usaidie watoto wa watanzania.
Wanakwambia walimu wanatosha
 
Kwamba hata kama una mamilion yai pesa, ziliwe na watu bure bure tu.

Kama unataka pesa za bure Si tufanye makubaliano tu.

Kwani VASELINE sh ngpi?.
.
Yaani kabisa unashauri pesa za wanaume wenzio zitoke burebure bila jasho upewe.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
1300 kwa wiki kwa mtoto kufanya mitihani ndo unalalama? Sasa unaishi maisha Gani? Kua makini kwa umaskini huo utakuja kupakatwa pumbavu
 
Wazazi wenye akili mgando, mwanao anafanya mitihani anapata sharpness na kuzoea mitihani mzazi analalamika.

Tutafte pesa kwa bidii wanajamii forum wenzangu, sasa sijui hio 1300 kwa mwezi hata elfu 10 haifiki ndo kitu Cha kulalalama tena kwenye elimu ya mwanao? Kila mtu anajua anakula vipi kazini kwake, sioni tatizo walimu wakipata chochote kitu ilhali wanasaidia wanafunzi.

Msione Kila siku kemebos sijus st Francis wanaleta division 1 cream mnalalamika sijui wanaiba mitihani, Hawa watoto wanafundishwa haswa na wanaofanya mitihani Kila wiki, hata kama wanafanya ujanja bado ni kuwaboost wanafunzi ambao wapo sharp, mitoto kama ya taifa sekondari hata ukiyapa mitihani inayofanya kesho ilale nayo bado Kuna mingine itafeli tu, maana unakuta hata English changamoto.

Wazazi tuachane kulalama Dunia imebadilika , mnalia Lia hizo elf 10 kwa mwezi wakati nursery watu wanalipa zaidi ya milion 2 kwa mwaka, shauri yenu na watoto wenu bana.

Nimesahau kitu, PUMBAVU!
Umenikimbusha mwalimu wa hesabu primary alitupa maswali kama zoezi la kawaida na akafanya correction halafu akatuanbia huu ndio mtihani wa kesho nimeuleta kama nilivyoutunga. Natumai kila mtu atapata [emoji817]. Lengo sio kuvujisha mtihani kwani aliandika hadi maelezo ofisi ya mtaaluma. Akatwambia atakayepata chini ya 70 kazi anayo.

Kesho yake mitihani ya muhula wa kwanza inaanza tunaletewa mtihani wa hesabu ukiwa vilevile alivyoahidi mwalimu kuanzia swali la 1 hadi la 50. Nifupishe story, robo tatu ya darasa walifeli nikiwemo mimi niliyepata aibu.
 
Back
Top Bottom